"Subiri wanakuja"

"Subiri wanakuja"

Subiri Wahusika wanakuja mkuu


Mkuu ukiwa JF jiandae kwa lolote hata ulete mada serious kiasi gani lazima kuna watu watasema tu....Subiri wanakuja au ngoja waje au nitarudi/napita tu

Vumilia tu
 
Subiri Wahusika wanakuja mkuu


Mkuu ukiwa JF jiandae kwa lolote hata ulete mada serious kiasi gani lazima kuna watu watasema tu....Subiri wanakuja au ngoja waje au nitarudi/napita tu

Vumilia tu
ukienda jeshini kuna kauli wanasema 'kazi za watu' kila kazi inayofanyika jeshini ni kazi ya watu, hata akija mkuu wa majeshi anasema fanyeni 'kazi za watu' hao watu wenyewe ni akina nani haijulikani hadi leo!
kwa hyo mkuu na asubiri tu WAJUZI WATAKUJA
 
ahahhaahahha kweli mkuu
ukienda jeshini kuna kauli wanasema 'kazi za watu' kila kazi inayofanyika jeshini ni kazi ya watu, hata akija mkuu wa majeshi anasema fanyeni 'kazi za watu' hao watu wenyewe ni akina nani haijulikani hadi leo!
kwa hyo mkuu na asubiri tu WAJUZI WATAKUJA
 
ahahhaahahha kweli mkuu
ukienda jeshini kuna kauli wanasema 'kazi za watu' kila kazi inayofanyika jeshini ni kazi ya watu, hata akija mkuu wa majeshi anasema fanyeni 'kazi za watu' hao watu wenyewe ni akina nani haijulikani hadi leo!
kwa hyo mkuu na asubiri tu WAJUZI WATAKUJA
 
Subiri wanakuja



Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana.
 
Back
Top Bottom