Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Subwoofer hii inauzwa ipo katika hali nzuri tu imemaliza ni mwaka mmoja tu toka iliponunuliwa, ina Sound nzuri, Mdudo pia uko vizuri.
Bei yake ni sh 160000 Tsh za kitanzania ila Maongezi yapo, nipo napatikana Mara wilaya ya Musoma mjini.
Na Namba za simu ni No ya tigo 0674 615883 / No ya Halotel 0622 730 684 Wote mnakalibishwa.