INAUZWA Subwoofer inauzwa bei nafuu

INAUZWA Subwoofer inauzwa bei nafuu

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
2d6f4f3c692bd0b5c4434b3c880fd050.jpg

Wakuu habari za saa hizi.

Subwoofer hii inauzwa ipo katika hali nzuri tu imemaliza ni mwaka mmoja tu toka iliponunuliwa, ina Sound nzuri, Mdudo pia uko vizuri.

Bei yake ni sh 160000 Tsh za kitanzania ila Maongezi yapo, nipo napatikana Mara wilaya ya Musoma mjini.

Na Namba za simu ni No ya tigo 0674 615883 / No ya Halotel 0622 730 684 Wote mnakalibishwa.
 
Vipi hakuna maenye huitaji wa hiyo redio jamani mpaka nimefanya 100000 jamani wateja hawapo nina shida jamani mnielewe
 
Back
Top Bottom