Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mbali sana mkuu.Wakuu habari za saa hizi.
Subwoofer hii inauzwa ipo katika hali nzuri tu imemaliza ni mwaka mmoja tu toka iliponunuliwa, ina Sound nzuri, Mdudo pia uko vizuri.
Bei yake ni sh 160000 Tsh za kitanzania ila Maongezi yapo, nipo napatikana Mara wilaya ya Musoma mjini.
Na Namba za simu ni No ya tigo 0674 615883 / No ya Halotel 0622 730 684 Wote mnakalibishwa.
Picha halisiLakini inawezekana nikatuma huko ulipo kwa basi jombaa
Basi unitumie kwanza niutest mzigo kisha nitakutumia pesa.Lakini inawezekana nikatuma huko ulipo kwa basi jombaa
Kama mzigo utakuwa bado upo baada ya siku tatu ntakucheki tuyajenge, sema nipo mbali DomWakuu kama mmegoma kuchukua mzigo samahani [emoji120] kama kuna anaweza kunikopesha 30000 tu mi ntamrudishia kwa uaminifu tu jamani sio kwa upigaji wala sio utapeli naomba mniamini jamani sijui nisemeje dah!? Wakuu msaada kwenu mwenye no ntakutumia kama ukiniitaji kufanya hivyo[emoji120][emoji20]
Hamna shida Mkuu nipo sanaKama mzigo utakuwa bado upo baada ya siku tatu ntakucheki tuyajenge, sema nipo mbali Dom
Sent using Jamii Forums mobile app