Hio ni hela ya india convert to madafu TZSMbona hapo naona inauzwa 7950?
haya mkuu weka bc picha uliyo piga wewe 2ione hali yake kama inalingana nahiyo beiHapana Mkuu hiyo ni picha ya Google lakini nimeichukua ndo yenyewe subwoofer ambayo mimi ninayo kama hiyo hiyo
nakuchek mkuu kwenye no hiyo 2yajenge
Niko mbali ndguKwa nini mkuu ata we unaweza kutumia pia
heheheVipi hakuna maenye huitaji wa hiyo redio jamani mpaka nimefanya 100000 jamani wateja hawapo nina shida jamani mnielewe
Vipi hakuna maenye huitaji wa hiyo redio jamani mpaka nimefanya 100000 jamani wateja hawapo nina shida jamani mnielewe