Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 347
- 553
Subwoofer mpya aina ya ALITOP inauzwa na imetumika wiki mbili tu tangu itoke dukani
Haina tatizo la aina yoyote ila nimepata dharula ndio maana nimeiweka sokoni
Subwoofer hii ni size ya kati siku kubwa sana wala sio vile vidogo hapana, ina mziki mkubwa tu na inatosha kwa matumizi ya nyumbani na hata kama una sherehe ndogo ya nyumbani pia inafaa.
Speaker zake mbili unaweza ukaziunganisha ikawa bar moja kama zile za Sound Bar
Bei ni Tshs 80,000 karibu tufanye biashara na hutojutia
Napatikana Mbezi Luis jirani kabisa na Magufuli Bus Terminal
Mawasiliano : 0767696021
Haina tatizo la aina yoyote ila nimepata dharula ndio maana nimeiweka sokoni
Subwoofer hii ni size ya kati siku kubwa sana wala sio vile vidogo hapana, ina mziki mkubwa tu na inatosha kwa matumizi ya nyumbani na hata kama una sherehe ndogo ya nyumbani pia inafaa.
Speaker zake mbili unaweza ukaziunganisha ikawa bar moja kama zile za Sound Bar
Bei ni Tshs 80,000 karibu tufanye biashara na hutojutia
Napatikana Mbezi Luis jirani kabisa na Magufuli Bus Terminal
Mawasiliano : 0767696021