MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hehehe!! Mbavu zangu jameni, umeifanya siku yangu imeanza kwa kicheko cha ajabu.London english au kimakonde umeandika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe!! Mbavu zangu jameni, umeifanya siku yangu imeanza kwa kicheko cha ajabu.London english au kimakonde umeandika?
yatakuwa na gharama kubwa kuliko kununua kwa mjomba wako aliyekuwa anakulisha kila siku.Watu wamekua wakitutukana kwa kununua mahindi kutoka kwao, muda usio mrefu Wakenya watakua wanacheua kwa wingi wa lishe. Nchi ndogo, halafu sehemu kubwa ni kame lakini tutatoka tu kwa mwendo huu. Hapa kasi tu.
Hivi jombaa unaona ikiwa sifa kwamba mazao yenu watz mnayauza kwa bei ya kutupa?Maanake wakenya wengi wanawazingua kwa kununua mazao yenu kwa bei wanayotaka!Bei iliyo chini sana kuliko bei ya soko ifaavyo?Unaeza fikiri kuwa jambo hili litanifurahisha sana kama mkenya lakini sivyo!Kilio cha wakenya wafuga ngombe na mbuzi pale Kajiado,mpakani Namanga ni cha kutamausha.Mnawaharibia sana,sijui wakulima wa tz wanafanya ukulima kama 'hobby' tu?Wakenya wanafanya kilimo biashara aisee,very pathetic of you tznians!yatakuwa na gharama kubwa kuliko kununua kwa mjomba wako aliyekuwa anakulisha kila siku.
Albino.Chakula kikuu Kenya ni nn hivi ?
Good responseAlbino.