Sudan: Waziri wa Sheria asema Sheria zote zinazokiuka Haki za Binadamu zitafutwa

Sudan: Waziri wa Sheria asema Sheria zote zinazokiuka Haki za Binadamu zitafutwa

Washamba tu hao.Dunia inazidi kuona ukweli wa uislamu na kurudi katika dini yao ya asili wao ndio wanaendekeza nchi za Magharibi ambazo corona tu imewashinda.
Bado hawajasoma tu katika historia kote duniani ya wale wanaomcheza shere Mwenyezi Mungu kutokana na haki aliyoileta na kuidhihirisha.
Hili linalotokea sasa ndilo walilokuwa wakilitafuta muda mrefu tangu Sudan ni chi moja kubwa kuliko zote Afrika.Baada kuigawa wamewachochea wapuuzi mpaka wakapinduana na kuleta watu wao wanaowapita UN na kupewa sifa kuwa ni wasomi na wataalamu wa uchumi kumbe mbumbumbu tu.
 
Kwa kufanikiwa kuitoa pombe katika kundi la dhambi na kiburudisho kinachosemwa vibaya basi huyu kura yangu anayo....amepita kwa 97% ya kura zote 3% ya kura zimeharibika kwa kuwa wapiga kura walikuwa wamekunywa soda ila hakuna kura ya hapana!Mhudumu Ongeza mojaaaaaaaaaaaaa!
 
Kawaulize wale viongozi wenu wa dini wanaoolewa na kugeuzwa vipi wanaumia?
Ndugu nimekuuliza wewe binafsi kama haya uyaonayo yamekuuma, sasa habari za viongozi wangu wa dini zinahusiana nini na mambo ya Sudan?

Una hasira?
 
Back
Top Bottom