Sudi brown acha kutengeneza pesa kwa kudhalilisha watu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Sudi Brown, umbea unaoufanya kamwe usidhani unakujengea heshima. Unavyowaumbua watu kwa kuingilia mambo yao ya ndani usidhani ni jambo jema.

Time will come, utazaa, watoto wako sijui watakuwa wakijisikiaje kuambiwa kuwa baba yenu ndiye mmbea namba MOJA Tanzania. Leo umemdhalilisha sana Irene Uwoya, eti Kisa mtoto wake hafanani na baba yake.

Laiti ningekuwa mimi ndio Uwoya ningekutukana matusi mazito hadi TCRA wafungie hicho kituo chenu cha radio. Unakera sana Sudi Brown. Tafuta namna nyingine ya kupata pesa badala ya kuingilia maisha binafsi ya watu.
 
ww ndo hujui kumbe, hao wasanii wenyewe ndo huwa wanamtafuta sud brown, mm kuna msanii mmoja naishi nae hapa mtaani huwezi kuamini anapenda sana kusoma magazet ya KIU na RISASI, kifupi anayahusudu sana magazet ya shigongo ambayo inshort ni umbea 100%. wasanii wetu wanapenda sana media tension, kuna wasanii wakipgiwa cm na sudi wanaona fahar mno.
 
Ndio nani huyo? ana Impact gani katika Taifa?
 
YOU HEAD!!!!! Hahahaaa jamaa shushushu kinyama
 
Kile kisegment hakiendi live so ukitukana unajisumbua, wanaedit tu mitusi yako
 
really?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…