Sudi brown acha kutengeneza pesa kwa kudhalilisha watu

Mleta mada uletewe ubuyu wa zanziber ushushe pumzi kwanza, halafu tune 294 Dstv tuendelee kumwangalia Soud brown na weekend chart show!
 
Skendo ni nzuri kwenye maisha ya wasanii wa Tanzania....

Ila kama msanii hapendi anaweza kufungua kesi
 
Muacheni Soudy jamani,mmeombwa mumsome?
Huku mnamwaga povu lakini huko Insta kila saa mnachungulia kapost nini!
Namkubali Soudy kinomanoma.

Ulishasema wewe umbea wako first class(4.5) lazima umpende mwanafunzi wako
 
kutukana utukane wewe kufungiwa wafungiwe clouds
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…