Sufuria mpya haiivishi ugali, kwanini?

Sufuria mpya haiivishi ugali, kwanini?

Sijawahi sikia hii..............najua tu ile ya mwiko wa ugali hautakiwi kubaki mchafu, hata kama umepika ugali saa nane usk lzm kuuosha!!!!!!!!
 
M
Hahahahah yawezekana ngoja nami nijaribu hahahahah ugali wenyewe basi ata najua kusonga [emoji13][emoji13][emoji13]
Mama madikodiko yote yale unayopikaga , Ugali nehi kabisa.? Acha utani aisee.
 
Ni vile labda sufuria inateleza kwa kuwa ni mpya, lakini ukiibana sufuria vizuri na banio kila kitu kitakwenda sawa.
 
hizo sufuria zako probably ni made up of steel, halafu thermal conductivity ya steel ni very low compared to sufuria zilizokua made up na copper aluminium etc(ambazo ni thermal conductivity yake iko high)
 
hizo sufuria zako probably ni made up of steel, halafu thermal conductivity ya steel ni very low compared to sufuria zilizokua made up na copper aluminium etc(ambazo ni thermal conductivity yake iko high)

ugali unajua kupika?
 
Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?
Interesting...
 
Huu usemi utakuwa unamaana nyingine zaidi ya hii....
 
Hii sijawahi kuisikia Mkuu.

Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?
 
Nakuamini uliposema wewe ni expert wa kupika ugali, ila najaribu kukumbuka nahisi kama niliwahi kusikia kauli kama hii kwamba sufuria mpya haiivishi ugali ila sina uhakika.

Ilinitokea mkuu, labda experience ya kupika ugali ilikuwa ndogo.
 
Nakuamini uliposema wewe ni expert wa kupika ugali, ila najaribu kukumbuka nahisi kama niliwahi kusikia kauli kama hii kwamba sufuria mpya haiivishi ugali ila sina uhakika.
Mkuu ni kweli ugali ni chakula ninachokopenda sana na ninajua kukipika, lakini kula ugali mbichi kwenye sufuria mpya yalinitokea, siku hizi sufuria ikiwa mpya inaaza kuchemshia makande kwanza.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?
Tatizo wadada wa siku hizi mnapika ugali kwa sufuria, pia mnabana sufiria kwa chuma badala ya kutumia vitu vya asili. Mbaya zaidi mnapika wima wima. Iko haja ya kurudi tena kijijini mkafundishwe..
 
Back
Top Bottom