Sugar Ray Night Club yafungwa rasmi

Sugar Ray Night Club yafungwa rasmi

Bado matako bar sijui na yenyewe itafungwa? Jamaniiii tuachieni take away zetu twafwaaa!
 
yan madada wanaojiuza wakiamia mitaani ndo hatar zaidi mana wataua watu wengi bora wangewaacha pale pale ili anaetaka uduma ajipeleke mwenyewe lkn mtaani vijana watajua ni binti wa kawaida ni vijana wengi wataenda mwendo wa dry
 
Hapo hawajatatua tatizo, Tanga watu wanafanya biashara mchana kweupe. Mtu anapigiwa simu tu kwamba tukutane Lodge fulani anapiga baibu/ninja na Anaenda kufanya biashara vizuri....
 
Waje na Morogoro wafunge Kahumba nyuchi zinauzwa mchana kweupe, halikadhalika King parice.
 
Sugar ray iliyopo Temeke mitaa ya kwa sokota imefungwa rasmi kwa madai kuwa sehemu hiyo imekuwa maarufu kwa wadada kuuza miili yao hivyo basi wazazi wa sehemu hiyo wakishirikiana na serikali waliamua kuifunga club hiyo kwa madai kuwa vijana wao wamekuwa wakiharibika siku baada ya siku
Sasa mbona sioni connection ya Bar kuadhibiwa kwa Wadada kujiuza!
 
Back
Top Bottom