Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya mianzini au ipi?Bado matako bar sijui na yenyewe itafungwa? Jamaniiii tuachieni take away zetu twafwaaa!
kaumba hadi leo?Waje na Morogoro wafunge Kahumba nyuchi zinauzwa mchana kweupe, halikadhalika King parice.
Ndiyokaumba hadi leo?
Sasa mbona sioni connection ya Bar kuadhibiwa kwa Wadada kujiuza!Sugar ray iliyopo Temeke mitaa ya kwa sokota imefungwa rasmi kwa madai kuwa sehemu hiyo imekuwa maarufu kwa wadada kuuza miili yao hivyo basi wazazi wa sehemu hiyo wakishirikiana na serikali waliamua kuifunga club hiyo kwa madai kuwa vijana wao wamekuwa wakiharibika siku baada ya siku