Suge Knight : 28 years in prison

Suge Knight : 28 years in prison

huyu jamaa janja janja kwa kwenda mbele, kwanza anajua hatakaa lupango kwa zaidi ya miaka5, parole itafanya kazi yake
 
kwa roho mbaya ya huyu jamaa now naamini asilimia mia moja ndio aliomuua 2pac pale alipotaka kuwa na lebel yake independent
nimeeambatanisha video ikimuonyesha suge alivyowauwa hawa jamaa wawili
this man is not a human being he is the heartless man and animal honestly
 

Attachments

Sasa mbona wenzie p diddy na dr dre ni mamilionea halafu yeye suge kama CEO wa record label kubwa ya kipindi hiko kachoka kabisa.
tofauti ya dre na diddy ni kuwa both dre and puffy ni rappers(selling albums) and producers
suge hana kipaji kingine aidi ya kuwa CEO wa death row,na hela yenyewe ya kuanzisha death row alimpora vanilla ice kwa kumsainisha document at a gun point
akina dre ni magenius kwenye business,suge ni street gangbanger aliyeakimbia professional football
 
tofauti ya dre na diddy ni kuwa both dre and puffy ni rappers(selling albums) and producers
suge hana kipaji kingine aidi ya kuwa CEO wa death row,na hela yenyewe ya kuanzisha death row alimpora vanilla ice kwa kumsainisha document at a gun point
akina dre ni magenius kwenye business,suge ni street gangbanger aliyeakimbia professional football
Lakini mbona nimesoma jamaa aliweza kuipandisha rekodi label mpaka ikawa na thamani ya $100M ndani ya mwaka mmoja tu.
 
Lakini mbona nimesoma jamaa aliweza kuipandisha rekodi label mpaka ikawa na thamani ya $100M ndani ya mwaka mmoja tu.
hata dre alikuwa na share kwenye death row
dre alimleta snoop ambaye aliuza copy za kutosha,karata dume aliyocheza suge ni kumpeleka tupac death row,pac aliiletea death row mapato mengi na jina kubwa....tupac ndio alikuwa game changer pale death row
lack of discipline ya hela ndilo lilikuwa tatizo la wale wasela
 
Akafie mbele mtu toka ujana wako mpaka uzee unafanya u gangstar usio na faida. Age mate wake wakina snoop ice cube wanaheshimika kwa jamii zao sababu wanajua how to play with time.
Lakini kwa hukumu hii inatokana na kugonga mtu na kukimbia bila kutoa taarifa polisi na watu wa huduma ya kwanza.
 
hata dre alikuwa na share kwenye death row
dre alimleta snoop ambaye aliuza copy za kutosha,karata dume aliyocheza suge ni kumpeleka tupac death row,pac aliiletea death row mapato mengi na jina kubwa....tupac ndio alikuwa game changer pale death row
lack of discipline ya hela ndilo lilikuwa tatizo la wale wasela
Ivi vijana wa outlaw wanashindwa kumsave suge au nao wana bef Na suge
 
Naona watu wa west side ...wamemtupa mkono suge .bt bila suge kipindi kile no west side
 
Ivi vijana wa outlaw wanashindwa kumsave suge au nao wana bef Na suge
suge alimzingua kila mtu death row
wote wanamuombea afe,aliwadhulumu sana
sasa hivi suge anapigwa na dunia tu,anatia huruma
anaanguka kifafa,kwa ufupi kachoka na huko jela sijui kama hawatamtumia hitmen kummaliza
 
suge alimzingua kila mtu death row
wote wanamuombea afe,aliwadhulumu sana
sasa hivi suge anapigwa na dunia tu,anatia huruma
anaanguka kifafa,kwa ufupi kachoka na huko jela sijui kama hawatamtumia hitmen kummaliza
Ubabe unamwisho . support anapata kwa mwanae tu ila ata mwanae pesa empty
 
Ganstar usio na maana ni ule wa kuingia jela uzesni jela inatakiwa uende mwisho 35 baada ya hapo ni businesa tuu
Pesa kaishiwa.crips gang wanamtaka .bef Na watu alio watapeli . scandal ya PAC . Anausika Na ku kill black raper .selo ni salama kwake
 
Hyu jamaa hajawahi kwenda jela na akamaliza kipindi cha miaka aliopangiwa.....sijui kwa nn
 
Ana mtoto kumbe? Familia
Anaitwa sugej Knight
Screenshot_20180924-222126.jpeg
Screenshot_20180924-221959.jpeg
 
Back
Top Bottom