Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Sijui kwanini, huyu Jamaa namkubali na nitaendelea kumkubali sana, yaani napenda tu MATUKIO yake!
safari hii sijui kama atachomoka maana kesi za kuua kaishachomoa nyingi...pia alituma watu wakamsainishe mkataba 'vanila ice' wa kujiunga na death row records huku wamemshikia bastola tumboni..ila darasani alikua yupo vizuri sana..
hah hah hah Dah Big Suge mbabe wa ukweli.
huyo hafungwi na wala hatofia jela.
wasiwasi wangu tu asije akafungwa gereza moja na Rally O
suge ni member wa Bloods, na wengi wanaomuongelea vibaya ni crips na wale ambao wanamuogopa,naamini tatizo kubwa la suge lilianza pale alipoondoka dre kwenye record label yake na msururu wa wasanii kuondoka,ni kweli ubabe wake unachangia upweke wake lakini ni vitu vya kawaida,eazy e hakuningingizwa kwenye ghorofa amuachie dre ...ila suge alikua ni mtu anaependa wasanii wake na kuwalinda akiwaekea security ya kutosha.
serikali baada ya kuanza kumfatilia biashara zake ndio alipoamua kuiuza studio yae na kutangaza kufilisika,kuanzia hapo things had not been the same,juzi tu hapa alipigwa risasi kwenye party ya chriss brown,pia aliwahi kupigwa na dogo mmoja hv,kesi zote hizi suge huwa hatoi report,...
life suck,sasa hv suge hana hela,umri umekwenda na pia zama zake zimeisha,so people are throwing punch at him,na ubaya hana nguvu ndani ya bloods,no one to protect him,he is the old Don thats fall lonely ,poor suge!
namuhurumia sana,simchukii lakini kanifundisha kitu kwa kweli
umewahi kujiuliza kwanini akipigwa huwa anasema waliompiga hawajui?
Anaogopa ataonekana snitch! Anaficha wabaya wake ili awatafute mwenyewe mtaani amalizane nao!
Sasa atamalizana na pilato na atazamishwa ndani tu.
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
mbona marekani dhamana inakua kubwa sana wakati hapa bongo kina child benz wanatoa laki tisa wanatoka
hah hah hah hii walimshtukiza na kukimbia...
swadaktaaaaaaar...
ndio maana mi nalikubali sana hilo Dubwasha
hah hah hah Dah Big Suge mbabe wa ukweli.
huyo hafungwi na wala hatofia jela.
wasiwasi wangu tu asije akafungwa gereza moja na Rally O
wasiwasi wangu tu ni endapo atakutana na Rally O....
suge ni member wa Bloods, na wengi wanaomuongelea vibaya ni crips na wale ambao wanamuogopa,naamini tatizo kubwa la suge lilianza pale alipoondoka dre kwenye record label yake na msururu wa wasanii kuondoka,ni kweli ubabe wake unachangia upweke wake lakini ni vitu vya kawaida,eazy e hakuningingizwa kwenye ghorofa amuachie dre ...ila suge alikua ni mtu anaependa wasanii wake na kuwalinda akiwaekea security ya kutosha.
serikali baada ya kuanza kumfatilia biashara zake ndio alipoamua kuiuza studio yae na kutangaza kufilisika,kuanzia hapo things had not been the same,juzi tu hapa alipigwa risasi kwenye party ya chriss brown,pia aliwahi kupigwa na dogo mmoja hv,kesi zote hizi suge huwa hatoi report,...
life suck,sasa hv suge hana hela,umri umekwenda na pia zama zake zimeisha,so people are throwing punch at him,na ubaya hana nguvu ndani ya bloods,no one to protect him,he is the old Don thats fall lonely ,poor suge!
namuhurumia sana,simchukii lakini kanifundisha kitu kwa kweli
hakuna ambae hafahamu ugomvi wa snoopy na suge,hiyo alitumia kama advantage,hata bodyguard wa tupac Big frank kabla ya kufa alisema mara kadhaa kuwa suge hakumuua tupac kwa namna yoyoteSnoopy Dog alitamka wazi kuwa yeye ndo alimuua Pac.