Suge Knight aanguka mahakamani

Mkuu sizungumzii watu ambao can't be touched, hao nawajua. Nazungumzia watu ambao kama mtu anakuzingua na hela yako kwa mfano unaweza kwenda na ukapata huduma ya kwenda kumu-intimidate huyo mdeni wako mpaka akulipe, hao ndio nawataka.

I get ur point, Hao honestly ni wachache mno na ikiwezekana bongo hii hawapo kabisa..... Watu type hyo ni one of a kind. Honestly bongo hamnaga real gangstars. Watu waoga wa jela. Lol
South Africa wapo....ukisikia mtu gangsta in the US ujue amepinda kweli sio masihara.
 
hakuna ushirikiano kwenye mambo hayo ya mauaji bro niamini,Frank Lucas hakushirikiana na cops,ile iliwekwa kwenye movie tu kuleta utamu alieshirikiana na cops anaitwa nicky barnes,na ilikua sio kwenye mauaji ....hii nitafute nikueleweshe mzee...

American Gangstar is one of my favourite Gangsta movies of all time..... It makes u see how drug dealing can take u places u only dreamed of ( if you play it smart ). Frank Lucas, Yule jamaa in the real world was a very smart guy and highly credited. Kuna ndugu zake flan ndio walimuangusha and led to his arrest/failure.

He says " The loudest one in the room is the weakest " meaning The more you show off and try to impress people the more problems you are likely to face vice-versa is true.

Hao ndugu zake walio muangusha in real sense it was because they were trying to be loud na ndio kilicho wa cost sanaa. Trying to impress people.
 
Hivi alikua anamwita mbwa wake damu kiswahili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…