maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
hiyo ni code of conduct ya gang member yoyote,never cooperate with a copumewahi kujiuliza kwanini akipigwa huwa anasema waliompiga hawajui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ni code of conduct ya gang member yoyote,never cooperate with a copumewahi kujiuliza kwanini akipigwa huwa anasema waliompiga hawajui?
ukiwa mfanyabiashara,ni lazima utumie mbinu zozote kuhakikisha unafanikiwa,ikiwemo ubabe,kuwapiga watu na gongo la basebal na mengineyo ni kawaida sana ya suge nachosema hakumninginiza easy e ili awe na dreSuge was a punk. Huyu alitumia nguvu ili Easy amuachie Dre. Jamaa aliendekeza ubabe wa kishamba, story ni kuwa alikuwa na cell ndani DR studio, usipoelewana nae anakufungia humo na m'bwa wake (damu).
Snoop aliwahi kukiri kwamba alikuwa anamuogopa sana mchizi, ndo maana hakusema kitu hata baada ya miaka kibao ya kusepa DR.
Hakuuza Studio, aliipoteza kisheria kwa mke wa Harry-O ambae ni kama mwanzilishi pia, japo alikuwa anamuwakilisha mumewe aliyekuwa jela.
Dre alikuwa smart kumskiliza Jimmy Lovine. Saivi jamaa anakaribia kuwa billionaire thanx to Jimmy.
Suge kaishiwa saivi, na alitengeneza maadui wengi kipindi yuko hot, hata marafiki wengi aliokuwa nao walikuwa ki-uwoga tu.
chuki tu,you are one of that dumbest hatters.....Halafu kuna hii pia Suge Knight got beat up again.....
kwa nyie watoto wa mama,lazima muelewe kwamba,Kichuguu, umeongea point
nani sasa? dre shoga? au kurupt? sio ndio yupo na dre DPG? nate dog labda lakini ndio alishatangulia mbele ya hakiina maana hata wasanii waliokuwa chini ya label yake kipindi hicho wameshindwa kumsaidia?
Robert Durst mtoto wa tajiri bond Yake haifiki j
Hapo .Hii ni campaign against rap music according to Bill oreilly ,Oprah eti Rap music Ina shabikia violence and use of guns .Hawatamwachia Huyu na watu wanasema alimuua Tupac
hakuna ambae hafahamu ugomvi wa snoopy na suge,hiyo alitumia kama advantage,hata bodyguard wa tupac Big frank kabla ya kufa alisema mara kadhaa kuwa suge hakumuua tupac kwa namna yoyote
ukiwa mfanyabiashara,ni lazima utumie mbinu zozote kuhakikisha unafanikiwa,ikiwemo ubabe,kuwapiga watu na gongo la basebal na mengineyo ni kawaida sana ya suge nachosema hakumninginiza easy e ili awe na dre
Hakuna kitu kama campaign against Rap music eti kwa sababu inachochea violence na vitu kama hivyo, hiyo ni kutupumbaisha. If anything, 'wenye maamuzi ya hii dunia' wanafurahia na ku-support those kind of rappers.Robert Durst mtoto wa tajiri bond Yake haifiki j
Hapo .Hii ni campaign against rap music according to Bill oreilly ,Oprah eti Rap music Ina shabikia violence and use of guns .Hawatamwachia Huyu na watu wanasema alimuua Tupac
Mkuu Suge Knight hajawahi kutaka kumsainisha Vanilla Ice Deathrow (Vanilla hana talent hiyo). Kilichotokea ni kuwa kuna dogo mmoja alikuwa ni "ghostwriter" wa Vanilla. Baada ya Vanilla ku-hit na ngoma kama "Ice Ice Baby" na "Play That Funk Music" akampotezea dogo akawa hampi credit na pasu yake ya loyalties (mrahaba). Ndipo dogo akaenda kwa Suge ili amsaidie. Kipindi hicho hata Deathrow ilikuwa haijaanzishwa (Suge alikuwa bodyguard wa Bobby Brown).
Suge akaenda Miami ambako Vanilla alikuwa anaishi. Vanilla akaitwa kwenye hoteli aliyofikia Suge ambapo Suge alikuwa anakaa kwenye ghorofa ya sita. Alipoingia ndipo Suge akamwambia kuwa yeye ndiye meneja wa yule dogo na amekuja kuchukua hela yoote ambayo dogo alkuwa hajalipwa. Vanilla akawa mbishi, ndipo jamaa zake Suge wakamchukua na kumpeleka dirishani mwa chumba na kumwambia kuwa usipompa dogo hela yake utatokea dirishani badala ya mlangoni, Vanilla akaufyata.
Illuminati. Watu flani wanaotumia akili sana, wanaandaa script za matukio yote duniani zi-play in their favour. Hakuna uchawi humo, wanaumiza tu vichwa zaidi yetu.#TUPACified 'wenye dunia' ndio kina nani hao?
Unajua kuna case/situation zingine kwenda police is a complete waste of time...Hata hapa bongo wako such people kama Suge and they are extremely feared and powerful. You just have to give them a simple cut (money) sometimes just sincere friendship and ur enemies are likely to fear you all their lives. Ukiangalia gangsta movies like Goodfellas, The Godfather, Gotti to mention a few utanielewa nachosema. I have practised that kind of intelligence and trust me it works. No one z gana f*ck wit u. Good example angalia hata maisha ya boarding school kama umeshawahi yapitia....its tha same.
chuki tu,you are one of that dumbest hatters.....
Hakuna kitu kama campaign against Rap music eti kwa sababu inachochea violence na vitu kama hivyo, hiyo ni kutupumbaisha. If anything, 'wenye maamuzi ya hii dunia' wanafurahia na ku-support those kind of rappers.
Angalia support wanayopata watu wanaoimba upumbavu kila siku, kila Lil wayne, Rick Ross, Minaj, na wengine kibao kwenye media, halafu angalia support wanayopata watu kama Talib, Mos Def, Common, Asheru na wengine wanaojaribu kuwaamsha waliolala na kuwasihi walikwisha amka waendelee kuwa macho.
Hao jamaa 'wenye dunia' wanataka tuendelee kuwa wapumbavu ili iwe kazi rahisi kutu-control, na wanajua mchango wa rappers katika hilo. Na wana-improvise daily, saivi tunafundishwa kukubali ushoga ndani ya rap through the likes of Young Thug, baada ya lil wayne na drake kuanzisha hizo harakati. Ushoga unakuja kupunguza population, so inakuwa rahisi kuwa monitored and controlled. Africa tunawekewa vikwazo na mashinikizo chungu nzima tukubali hii kitu.
Kifupi, hao jamaa wanaopanga mchezo wako smart. Wanacheza na akili zetu kwa kila namna, wanawatengeneza heroes kama kina Lupita ili wasaidie kupitisha ideas zao kiurahisi huko badae.
Yeah, kwenda Polisi ni upuuzi na kupoteza muda. E bwana kina nani hapa Dar wanaweza fanya kazi hiyo? Zamani najua walikuwepo lakini siku hizi naona kama Dar is of pussies.