SUGU adai yeye ndiye muasisi wa Bongofleva

Kweli concert lina haki ya kuitwa the dream concert
 
Na huyu ndio alitoa albam ya kwanza ya rap kabla ya kina sugu ilikuwa na nyimbo sita kabla redio one haija anzishwa tulipiga donee tukainunua pale lang'ata ilikuwa inauzwa 600,dah kitambo sana

Alikuwepo Saleh Jabir,huyu alikua ana rap Kiswahili japo kwa kuchukua midundo ya nyimbo za watu,kama ule wimbo wa Vanilla Ice.
 
"Niko mikononi mwa polisi maisha yangu ni mikosi afandeeeeee!!!!* Aisee
 
Wimbo wa kwanza wa rap wa kiswahili kuwa mainstream ulikuwa wimbo wa Nigga J, Chemsha Bongo.
*Mwokozi nitoe roho niepuke hili balaa,maisha nimechezea leo hii nalala njaa chemsha bongo kabla hujapagawa utashangaa chemsha bongo kabla hujapawa utaduwaa

Kwa kifupi nilikulia kwenye maisha ya kitajiri..wazazi walinipenda walinipa hili na lile

Na kila slinighasi aliozea segerea!!!*[emoji445][emoji445]
 
Legendary wa Muziki Nchini Tanzania na Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a k a Mr.Sugu,amejigamba kwamba yeye ndio jasiri muongoza njia wa Muziki hapa Tanzania na kwamba ndiye aliwafungulia njia ya Mafanikio Wasanik wote..

Aliyasema hayo hivi karibuni katika tamasha la Dream Concert aliloliandaa Serena hotel kusherekea birthday ya miaka 50 na mafanikio kwenye sekta ya Muziki Tanzania..

Miongoni mwa wageni waalikwa katika tamasha hilo la Sugu alikuwa Rais wa JMT,mh.SS Hassan..

Hongera bwana Sugu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-104936.png
    140.1 KB · Views: 26
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…