Sugu afika Club ya Wazee Isanga kwa lengo la Kuwasalimia

Sugu afika Club ya Wazee Isanga kwa lengo la Kuwasalimia

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Mjini , Joseph Mbilinyi (Sugu) , leo ameendelea na ukarimu wake , ambako amefika Maskani ambayo wanajipumzisha wazee wa Isanga , baada ya shughuli za kutwa nzima (KILABUNI) , kwa lengo la kuwajulia hali zao na kuwasalimia .

Ama kwa hakika huyu jamaa anapendwa na Wazee wa Mbeya , USIPIME ! Shangwe zilizoibuka baada ya Sugu kuingia kwenye Klabu hiyo si za nchi hii , hivi ana kizizi au ni upendo tu wa kawaida ?
 
Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Mjini , Joseph Mbilinyi (Sugu) , leo ameendelea na ukarimu wake , ambako amefika Maskani ambayo wanajipumzisha wazee wa Isanga , baada ya shughuli za kutwa nzima (KILABUNI) , kwa lengo la kuwajulia hali zao na kuwasalimia .

Ama kwa hakika huyu jamaa anapendwa na Wazee wa Mbeya , USIPIME ! Shangwe zilizoibuka baada ya Sugu kuingia kwenye Klabu hiyo si za nchi hii , hivi ana kizizi au ni upendo tu wa kawaida ?
Walikuwa wanafurahia kinywaji alichowaachia.
 
Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Mjini , Joseph Mbilinyi (Sugu) , leo ameendelea na ukarimu wake , ambako amefika Maskani ambayo wanajipumzisha wazee wa Isanga , baada ya shughuli za kutwa nzima (KILABUNI) , kwa lengo la kuwajulia hali zao na kuwasalimia .

Ama kwa hakika huyu jamaa anapendwa na Wazee wa Mbeya , USIPIME ! Shangwe zilizoibuka baada ya Sugu kuingia kwenye Klabu hiyo si za nchi hii , hivi ana kizizi au ni upendo tu wa kawaida ?
Na mimi nimetembelea wanywa Kahawa kujulia hali zao. Ntagombea udiwani 2025.
 
Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Mjini , Joseph Mbilinyi (Sugu) , leo ameendelea na ukarimu wake , ambako amefika Maskani ambayo wanajipumzisha wazee wa Isanga , baada ya shughuli za kutwa nzima (KILABUNI) , kwa lengo la kuwajulia hali zao na kuwasalimia .

Ama kwa hakika huyu jamaa anapendwa na Wazee wa Mbeya , USIPIME ! Shangwe zilizoibuka baada ya Sugu kuingia kwenye Klabu hiyo si za nchi hii , hivi ana kizizi au ni upendo tu wa kawaida ?
Haka kakitengo ka kulamba viatu vya viongozi wa Chadema kanakufaa unakatendea hali. Sugu hawezi Rudi kuwa Mbunge wa Mbeya. Mark my words. Wanambeya walishagundua kosa lao... Atabaki kuwa na washkaji na wacha atembelee wazee,vijana na watoto lakini Ubunge.aachane nao. Ajikite kwenye Hotel yake tu.
 
Haka kakitengo ka kulamba viatu vya viongozi wa Chadema kanakufaa unakatendea hali. Sugu hawezi Rudi kuwa Mbunge wa Mbeya. Mark my words. Wanambeya walishagundua kosa lao... Atabaki kuwa na washkaji na wacha atembelee wazee,vijana na watoto lakini Ubunge.aachane nao. Ajikite kwenye Hotel yake tu.
Hujui kitu kijana , Shut up !
 
Hujui kitu kijana , Shut up !
Dada yangu nakuambia tu ukweli huu uchawa utakuja kukushinda. Sugu hatokuja kuwa mbunge wa Mbeya tena. Tuombe uzima. 2025 akiwa Mbunge nipigwe life ban humu JF. WANAMBEYA SI WAJINGA. hao watu kwa sasa wanaweza kula sana pesa yake kama wewe unavyolipwa vijicent uje uandike hiki unachoandika sababu ndo kula yako ipo hapo. SUGU HAWEZI KUWA MBUNGE MBEYA TENA.
 
Dada yangu nakuambia tu ukweli huu uchawa utakuja kukushinda. Sugu hatokuja kuwa mbunge wa Mbeya tena. Tuombe uzima. 2025 akiwa Mbunge nipigwe life ban humu JF. WANAMBEYA SI WAJINGA. hao watu kwa sasa wanaweza kula sana pesa yake kama wewe unavyolipwa vijicent uje uandike hiki unachoandika sababu ndo kula yako ipo hapo. SUGU HAWEZI KUWA MBUNGE MBEYA TENA.
Hakuna Tajiri ambaye ni Chawa
 
WanaNchi wakiongozwa na watu wanaowapenda na kuwachagua hata Mungu hushusha baraka na maendeleo huonekana
Mbona hatujaona hizo baraka na maendeleo kwenye majimbo yaliyowachagua wapinzani miaka yote hiyo,waliingia na kutoka hali ilikuwa ileile
 
Back
Top Bottom