MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Sugu anatisha mpaka kiroboto anachanganyikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unadhani kama kubeba mimba?unadhani utajiri ni kubeba mawe ?
Usitusemee sisi wana Mbeya.Haka kakitengo ka kulamba viatu vya viongozi wa Chadema kanakufaa unakatendea hali. Sugu hawezi Rudi kuwa Mbunge wa Mbeya. Mark my words. Wanambeya walishagundua kosa lao... Atabaki kuwa na washkaji na wacha atembelee wazee,vijana na watoto lakini Ubunge.aachane nao. Ajikite kwenye Hotel yake tu.
Mbunge wa Nyumbani kwenu...😂Usitusemee sisi wana Mbeya.
Sugu ndio mbunge wetu.
2020 uchaguzi ulibakwa.
Kama hutaki nunua limao ule ina onekana una uchungu naye sana.Mbunge wa Nyumbani kwenu...😂
Mimba changa huwa ziko hivyoKama hutaki nunua limao ule ina onekana una uchungu naye sana.
Tena nahisi hiyo mimba yake mtia mimba ameikataa yupo full stressed.Mimba changa huwa ziko hivyo
Wewe kama unampenda sana nenda kaishi naye...😂Kama hutaki nunua limao ule ina onekana una uchungu naye sana.
Akili za kimataga hizi.Wewe kama unampenda sana nenda kaishi naye...😂
Maandalizi ya 2025 au Chagademus & Pliers itasusa?kampeni za nini leo ?
Wazee hawakumfurahia yeye walifurahia siku itaenda vizuri kwa bia za bure bure..... 😁😁😁😁Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Mjini , Joseph Mbilinyi (Sugu) , leo ameendelea na ukarimu wake , ambako amefika Maskani ambayo wanajipumzisha wazee wa Isanga , baada ya shughuli za kutwa nzima (KILABUNI) , kwa lengo la kuwajulia hali zao na kuwasalimia .
Ama kwa hakika huyu jamaa anapendwa na Wazee wa Mbeya , USIPIME ! Shangwe zilizoibuka baada ya Sugu kuingia kwenye Klabu hiyo si za nchi hii , hivi ana kizizi au ni upendo tu wa kawaida ?