Sugu afika Club ya Wazee Isanga kwa lengo la Kuwasalimia

Huyo hatumtaki tunataka maendeleo mbeya yetu sasa inakua

Upuuzi wa kushangilia chadema ata balabala hamna haupo tena

Akija kupita tena uyo mwendawazimu na mvuta mabangi niite mbwa nimekaa pale

Viva mbeya.
 
Usitusemee sisi wana Mbeya.
Sugu ndio mbunge wetu.
2020 uchaguzi ulibakwa.
 
Wazee hawakumfurahia yeye walifurahia siku itaenda vizuri kwa bia za bure bure..... 😁😁😁😁
 
Huyo mfanyabiashara bilionea wa mbeya angewasaidia hao wazee kuwajengea makazi ya kudumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…