Sugu akutana na Askofu Mwaikali. Ashiriki harambee ya Ujenzi wa Kanisa

bora ametoa sadaka kanisanikuliko zingeishia kwenye betting.
Jamaa yuko addicted sana na kubeti uskute ata hizo alizotoa alitusua mkeka
Kila nikitaka kuacha kubeti niksoma vifungu sioni ilpokatazwa kumla mhindi
 
anachanga huku roho inamuuma dah😀
 

Hii aina ya uandishi inadhihirisha hata CHADEMA ikishika dola viongozi watakuwa na machawa wao kama ilivyo kwa CCM.
 
chadema siasa za kushikishana majogoo hizo ni mambo ya kizamani acheni izoo bana! jikiteni kwenye mambo ya kiuwekezaji ndio habari ya kiulimwengu ulizeni mtu yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…