Kila nikitaka kuacha kubeti niksoma vifungu sioni ilpokatazwa kumla mhindibora ametoa sadaka kanisanikuliko zingeishia kwenye betting.
Jamaa yuko addicted sana na kubeti uskute ata hizo alizotoa alitusua mkeka
majaribu ni mtaji wa kuongeza imaniKila nikitaka kuacha kubeti niksoma vifungu sioni ilpokatazwa kumla mhindi
sawa ndugu mkweli😀Uongo utakudhalilisha sana .
Bilionea kanunua kwa Dola ngapi?ukiijua bei ya mnada wa huyo kuku utacheka 🤣
ni aibu kuitaja
anachanga huku roho inamuuma dah😀Kama alishindwa kuichangia CHADEMA hela za kununulia kiwanja cha kujenga ofisi ya chama unafikiri Sugu ataanzia wapi kutoa hicho unachoita kitita cha pesa kwa mwaikali kununua kiwanja? Ndio maana hata wewe umeshindwa kuweka hapa hicho kiasi unachodai ni kitita. Au kama unajiamini weka hapa basi japo najuwa huwezi maana unajuwa itakuwa aibu na ndio maana umekuja kupiga blaa blaa tu.
ni kitita haswaa. ni moto chiniBilionea kanunua kwa Dola ngapi?
Swali lako zuri sanaBilionea kanunua kwa Dola ngapi?
Wacha weeeee !!!
Hii aina ya uandishi inadhihirisha hata CHADEMA ikishika dola viongozi watakuwa na machawa wao kama ilivyo kwa CCM.
Kubeti mbona yule jamaa yetu wa IRAMBA yuko addicted sanabora ametoa sadaka kanisanikuliko zingeishia kwenye betting.
Jamaa yuko addicted sana na kubeti uskute ata hizo alizotoa alitusua mkeka
Sawa sawani kitita haswaa. ni moto chini
homeboy, kiongozi wetu ni wa kitambo sana na mambo izo aise😀Kubeti mbona yule jamaa yetu wa IRAMBA yuko addicted sana