Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Nimesikiliza ile ant virus volume one and two
Sijawahi sikia ushiriki wa John
Kwa hiyo hiyo hoja yako hapa haina ukweli
Nimesikiliza ile ant virus volume one and two
Sijawahi sikia ushiriki wa John
Kwa hiyo hiyo hoja yako hapa haina ukweli
Msaada anautoa daktari aliyemfikisha hospitalinibni nan ?? Je wajuaje sugu hakushiriki ??
Nauliza aliyempeleka hospitalin nibnan??Unauliza nini sasa.
Kaka we acha tu! Mbongo ni kiumbe wa aina yake!! amejaa kulalamika kuanzia asubuhi hadi jioni na kulaumu wenzie!! ndo kama huyo mleta uzi!!Mmh, jamaa kaumia jana na tangu hyo jana yupo mahututi unaambiwa sugu kamtelekeza "tangu" aanze kuuumwa hadi anakata roho hajamtumia 'salam' za pole. Mbongo mtu hatari sana aisee.
Kumbuka ana kundi kubwa la wapiga kura ambalo linasubiri kutatuliwa changamoto mbalimbali jimboni na ikibidi azame hukohuko kwenye hizo milioni kumi mi nadhani wabongo tupunguze kidogo kulalamika tufanye kazi!Sugu ana posho na mshahara zaidi ya million 10 per month kutumia mshikaji wako awe attended earlier ilikuwa ni jambo la kiutu na kiungwana ata kama alimtupa angemkumbuka japo for once.
Hii ni kweli mkuu mtu katika mihangaiko yake ya kila siku amepata ajali ya kawaida kabisa lawama kwa mtu mwingine!Aaaagh!Hii haifai kabisa.Inabidi tubadilike kwa kweli.Watanzania tumejijengea utamaduni mbaya sana wa kulaumu....yaani hata katika masuala madogo yanayohitaji kunoa bongo zetu sisi tunaishia kuwatupia lawama watu wengine.....
Hiii ni tabia mbaya inayoondoa uwajibikaji miongoni mwa watannzania na mbaya zaidi imehamia mpaka kwa viongozi wetu tuliwategemea kututatulia matatizo yetu...lakini na wao wamekuwa watu wa kulaumu....
Hata mtu anaposhindwa kumfikisha mkewe kileleni atawalaumu wengine.....Hii ni kweli mkuu mtu katika mihangaiko yake ya kila siku amepata ajali ya kawaida kabisa lawama kwa mtu mwingine!Aaaagh!Hii haifai kabisa.Inabidi tubadilike kwa kweli.
mr gentlemavirus?st: 15342290 said:You know nothing about Antivirus movement. Just shut the f up.
Ndy maana umeambiwa ni ajali..au ajali unajua hadi gari nn..hyo pia ajali..na acha majunguKalipukiwa na gesi gereji akalazwa muhimbili
Nina uhakika hajui hata joint moja kwenye mixtapes za Ant Virus maana ambae kasikiliza hawezi kusema eti John Walker kashiriki alafu namkumbusha Mbeya wasanii waliokua na Sugu mwanzo mwisho ni Mkoloni,Danny Msimamo,G Solo,Isanga Family sikumbuki kumuona John Walker.Unaizungumzia Ant virus?
Eti sijui chochote!!!
Haya kila la kheri