Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ClubHivi hawa kaka zangu wanawatoaga wapi hawa wanawake waliofyatuka akili kiasi hiki? Pole bro.
Unauliza jibuKwani huyu ni Malaya?
Aaminiki wapi ni kweliHuyo Faiza muhuni tu hata haaminiki!!!
Kama kawaida ya wabunge wa CHADEMA kutelekeza familia zao hii imesikika baada ya aliyekuwa mke wa sugu kuweka hadharani uongo wa sugu wa kutolipa Ada kwa mwanae na kuweka receipt za uongo Instagram kumbe anajisafisha
Mwanadada anaeleza ambavyo sugu katoa Ada Mara tatu tu wakati wa mtoto anasoma primary,
Kaeleza kuwa Ada haifiki hata dolla 1000 wakati Ada iliyolipwa Ni zaid ya dollars 7000
Kaeleza tena alitaka suluhu kwa kwenda Zanzibar kwa baba wa hiari wa sugu ili angalau aombe sugu awe anasaidia kusomesha mtoto lakin sugu akagoma,
Amesema sugu kilichonshutua na kuanza kupost receipts zisizo na maana ni baada ya kuona watoto wadogo kama diamond platinuns wanawajibika kwa familia zao lakin sugu kabeba mzigo kwenye suruali tu,
Kwa maaelezo zaid pitia video
Akijibu niiteBora mara mia Mh. Sugu kaachana na hii takataka, hivi kweli kuna mwanaume mwenye akili zake timamu anaweza kuendelea kuishi na kimeo kama hichi..
View attachment 592609 View attachment 592608
Baadae akampa ukuu wa wilaya.Kamwambie na Sizonje aliyezaa na shemeji yake