Sugu ameonesha ulimbukeni mkubwa sana kusema kuwa ameweka rekodi ya Dunia ya Muandamanaji aliyevaa vito vya thamani zaidi katika maandamano

Sugu ameonesha ulimbukeni mkubwa sana kusema kuwa ameweka rekodi ya Dunia ya Muandamanaji aliyevaa vito vya thamani zaidi katika maandamano

..Sugu alionewa, na kunyanyaswa, na uongozi wa bunge.

..Na tukio lenyewe alifanyiwa kwa makusudi na ubabe wa uongozi wa bunge.

..Katika mazingira hayo sio rahisi victim akawa mstaarabu ktk kuonyesha hisia zake.

..Wapinzani ni binadamu na wakati mwingine uvumilivu huwafika kokomo.

..Utawala wa Bunge ulifikia mpaka kuruhusu matusi ya waziwazi dhidi ya wabunge wa upinzani, tena wakati mwingine wabunge wanawake.
Mhuni ni mhuni tu na hawezi kuacha uhuni wake hata ukimvalisha suti na tai shingoni. Sugu hakustahili kuongoza jimbo la Mbeya mjini hata kwa wiki moja tu maana tabia na nidhamu yake ni mbovu na mbaya Sana
 
Sugu ana exposure za kutosha
Ila sahv lucas,lazima nkionana na mwenezi nimpe taarifa zako
Ikiwezekana akufikirie

Ova
Tizama Post #271 hapo chini uone kwanini tunasema sugu ni muhuni ambaye alikuwa hastahili heshima ya kuingia bungeni.
 
Tizama Post #271 hapo chini uone kwanini tunasema sugu ni muhuni ambaye alikuwa hastahili heshima ya kuingia bungeni.
Uhuni wake nini????

Kwani sahvi huko bungeni hakuna wabunge wahuni lucas
Ccm yenyewe kuna wahuni wengi tu
Wamejaa

Ova
 
Uhuni wake nini????

Kwani sahvi huko bungeni hakuna wabunge wahuni lucas
Ccm yenyewe kuna wahuni wengi tu
Wamejaa

Ova
CCM Haina wabunge aina ya sugu wanaoweza wakafanya hicho alichofanya sugu wakati ni Mbunge
 
Wewe na Sugu nani Limbukeni?

1.Mwenzio anamiliki Hotels
2.Mwenzio anapesa
3.Mwenzio ameishi Marekani
4.Mwenzio amekuwa mbunge
5.Mwenzio anamke mzuri


Wewe unamiliki yafuatayo

1.Huna hela
2.Wewe ni chawa
3.Unamiliki mbupu tu hapo ulipo
4.Huna akili timamu( Hakuna mtu mwenye akili timamu anayemfungulia mwanaume mwenzie uzi kisa cheni)
5.Kutwa kushinda mitandaoni
6.Kwenu masikini


Kijana pambana kwa ajili ya familia yako na Kizazi chako,Acha UJINGA,UJUHA,UZWAZWA
Na wewe ni mpumbavu kama sugu tu,hivyo vitu vyoote anavyomiliki vinamsaidia vp mwananchi maskini wa mbeya?!.
 
Umeanza kumjua lini SUGU??
Yule ni mwana Hip pop majigambo ni Jadi yake tangu zama hizo.
Umasikini wa watanzania umeletwa na CCM unayoishabikia na kujipendekeza.

Weka namba ya simu nina laki moja hapa kwenye simu nataka nikupe pesa ya wikiendi.
 
Na wewe ni mpumbavu kama sugu tu,hivyo vitu vyoote anavyomiliki vinamsaidia vp mwananchi maskini wa mbeya?!.
Huo umasikini wa wananchi wa Mbeya nani kuleta na wa kulaumiwa??
Acheni SUGU aishi maisha yake ya majigambo nanyi kazini mattyakko yenu kutafuta pesa kwa nguvu zote hata ikibidi mpakuliwe.
 
Na wewe ni mpumbavu kama sugu tu,hivyo vitu vyoote anavyomiliki vinamsaidia vp mwananchi maskini wa mbeya?!.
Umekosea kuandika au hujui ulichoandika?

Aiseee kama hizi ndizo akili zako wazazi na ndugu zako wanashida sana Boya wewe!
 
..Sugu alionewa, na kunyanyaswa, na uongozi wa bunge.

..Na tukio lenyewe alifanyiwa kwa makusudi na ubabe wa uongozi wa bunge.

..Katika mazingira hayo sio rahisi victim akawa mstaarabu ktk kuonyesha hisia zake.

..Wapinzani ni binadamu na wakati mwingine uvumilivu huwafika kokomo.

..Utawala wa Bunge ulifikia mpaka kuruhusu matusi ya waziwazi dhidi ya wabunge wa upinzani, tena wakati mwingine wabunge wanawake.
Ukilipeleka zumbukuku la mitaani bungeni, hayo ndiyo matokeo yake.
 
Hiyo
Chini ya serikali ya CCM Nchi yetu imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo katika kila Secta.
Hiyo ya maendeleo Kila Secta mkuu,unapotaja Hilo neno mpaka nafasi inakusuta.

Mpende kuongea ukweli mkuu,kwani shida Nini kinachowakumba wanaccm🙄.

Hakuna msomi aliyewahi kuingia ccm akawa salama😂.
Nchi ni maskini,wananchi wake ni Walala hoi,hohehahe,Wanyonge wanaishi kama mazuzu katika Nchi ambayo Ina Kila kitu.
Ila Kwa viongozi wa Ccm kwao wapo wanakula mema.

Ila mfumo aliotuwchia Hayati Kambarage hakika alituachia Mchoro wa Kaburi ambapo mwanaccm amebaki anachimba na kuzika tu.

Ipo siku vyombo vya Dola vitakapojitambua,ndo mtajua kuwa Nchi hii ilihitaji mabadiriko Toka mwaka 2005
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kupitia mtandao wa Twitter Sugu ameandika kuwa katika maandamano ya hapo jana ameweka rekodi ya Dunia kama muandamanaji aliye vaa vito vya thamani zaidi,na kwamba rekodi hiyo aliiweka pale maandamano yalipofanyika mkoani Mbeya na sasa amevunja rekodi yake mwenyewe kwa maandamano ya hapo jana kwa kuvaa vito hivyo vya thamani.

Ndugu zangu Watanzania kwa maneno haya ya sugu mnaweza kuona ni namna gani jimbo la Mbeya mjini lilipata bahati mbaya sana ya kuongozwa na mhuni mhuni kwa miaka kumi mfululizo,jimbo lilikuwa katika mikono ya mtu asiyejitambua wala kuelewa kazi ya ubunge ilikuwa ni nini .ndio maana hapa majuzi wakati Dkt Tulia anagawa bure bima za afya elfu sita pamoja na kumkabidhi nyumba aliyomjengea ndugu Hosea,niliwaambia ya kuwa katika muda wote wa uongozi wa Sugu kama mbunge alikuwa ni kama mbunge hewa tu,hakuwahi kuwa na msaada wa aina yoyote ile kwa mwananchi yeyote yule wa jiji la mbeya zaidi ya maslahi yake binafsi.

Sugu aliomba ubunge na kuutaka tena ubunge kwa ajili ya kujineemesha yeye na familia yake. Mtu mwenye akili Timamu na unayejitambua na mwenye akili ya Kiutu uzima na unayeguswa na shida za watu unaanzia wapi kujitapa juu ya kuvaa vito vya thamani katika mwili wako? Hivi hiyo ni akili au matope? Huo ni ulimbukeni au utoto?

Sugu atakua na kukomaa lini akili yake? Mtu mwenye akili ya namna hii anaweza akagusa vipi maisha ya watu? Anaweza vipi wajali na kuwaonea huruma wajane, yatima,wazee na watu wasio jiweza na wanaohitaji msaada? Anaweza vipi wasaidia watu hawa? Anaweza vipi wapambania watu wakapata miradi ya maji safi na salama,miradi ya barabara,afya na elimu? Anaweza vipi pigania maendeleo katika jimbo wakati akili yake ipo katika kuwaza vito vya thamani ili kuwazidi na kuwalingishia wananchi anaowaongoza?

Kwa hiyo lengo la sugu na CHADEMA yake katika maandamano siyo yale wanayotamka katika ndimi zao,bali ni kuangalia ufukara wa watanzania,mavazi ya watanzania ,hali za wananchi pamoja na kuwalingishia utajiri wao waliouchuma kupitia viinua mgongo na maposho waliyovuna wakiwa wabunge. Hii ndio sababu wanawadharau watanzania na kuita kazi halali kuwa ni za laana kama alivyotamka lema hadharani.

Kumbe Wanawatesa watu katika mvua na safari ndefu za kutembea barabarani kwa ajili ya kuonyesha vito vyao vya thamani? Kwa hakika CHADEMA na viongozi wake imelaaniwa na ndio maana kwa upofu wa akili wanaandika ujinga huu katika mitandao ya kijamii.kwa sababu Mungu amewapiga upofu wa akili.maana kiongozi wa kamati kuu unayeguswa na maisha ya watu na mwenye dhamira ya kuwapigania wanyonge na unayetaka kuinua maisha ya watu siku ukipewa madaraka huwezi kujitapa kwa kuvaa vito vya thamani mwilini mwako .maana hiyo inamaanisha kuwa unapokuwa mstari wa mbele unakuwa unawakejeli waandamanaji kwa namna walivyo vaa vitu vya mitumba vilivyochoka na kuchakaa.

Hoja yangu siyo kumshambulia sugu kuwa asivae hivyo vito vya thamani ambavyo amejinunulia kwa pesa zake.bali ni kupinga ulimbukeni wake na kukosa kwake busara ,hekima na kutokujitambua kwake kwa kuanza kulingia vito vya thamani mbele ya waandamanaji anaowaona kuwa wamevaa vitu vya hovyo hovyo.hii ndio sababu CHADEMA inaendelea kupuuzwa na watanzania kwa kuwa ni mkusanyiko wa viongozi wahuni wahuni wasio na uchungu na maisha ya watanzania wala kuguswa na maisha ya watu zaidi ya kutafuta milango ya kupatia madaraka yatakayowapa fursa ya kuvuna pesa pasipo jasho ili baadaye waje wawatapikie matusi Watanzania.

Akili na mawazo haya ya sugu ndio waliyonayo viongozi karibu wote wa CHADEMA.wakishapata vijisenti kidogo tu wanaanza dharau,matusi, kejeli,ulimbukeni na utoto utoto tu na kusahau waliowafikisha hapo walipo. CHADEMA ni laana mbele ya watu waliostaarabika. Ni chama kinachopaswa kupingwa sana maana kinaweza kuleta ubaguzi mkubwa sana katika jamii na kuwafanya watu wengine wajione hawana thamani wala hadhi katika Taifa lao.wanaweza chochea hasira kubwa katika mioyo ya wananchi ambao wanaweza kuamua liwalo na liwe kuliko kudharaulika.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

Umesahau kuweka namba ya simu we pimbi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kupitia mtandao wa Twitter Sugu ameandika kuwa katika maandamano ya hapo jana ameweka rekodi ya Dunia kama muandamanaji aliye vaa vito vya thamani zaidi,na kwamba rekodi hiyo aliiweka pale maandamano yalipofanyika mkoani Mbeya na sasa amevunja rekodi yake mwenyewe kwa maandamano ya hapo jana kwa kuvaa vito hivyo vya thamani.

Ndugu zangu Watanzania kwa maneno haya ya sugu mnaweza kuona ni namna gani jimbo la Mbeya mjini lilipata bahati mbaya sana ya kuongozwa na mhuni mhuni kwa miaka kumi mfululizo,jimbo lilikuwa katika mikono ya mtu asiyejitambua wala kuelewa kazi ya ubunge ilikuwa ni nini .ndio maana hapa majuzi wakati Dkt Tulia anagawa bure bima za afya elfu sita pamoja na kumkabidhi nyumba aliyomjengea ndugu Hosea,niliwaambia ya kuwa katika muda wote wa uongozi wa Sugu kama mbunge alikuwa ni kama mbunge hewa tu,hakuwahi kuwa na msaada wa aina yoyote ile kwa mwananchi yeyote yule wa jiji la mbeya zaidi ya maslahi yake binafsi.

Sugu aliomba ubunge na kuutaka tena ubunge kwa ajili ya kujineemesha yeye na familia yake. Mtu mwenye akili Timamu na unayejitambua na mwenye akili ya Kiutu uzima na unayeguswa na shida za watu unaanzia wapi kujitapa juu ya kuvaa vito vya thamani katika mwili wako? Hivi hiyo ni akili au matope? Huo ni ulimbukeni au utoto?

Sugu atakua na kukomaa lini akili yake? Mtu mwenye akili ya namna hii anaweza akagusa vipi maisha ya watu? Anaweza vipi wajali na kuwaonea huruma wajane, yatima,wazee na watu wasio jiweza na wanaohitaji msaada? Anaweza vipi wasaidia watu hawa? Anaweza vipi wapambania watu wakapata miradi ya maji safi na salama,miradi ya barabara,afya na elimu? Anaweza vipi pigania maendeleo katika jimbo wakati akili yake ipo katika kuwaza vito vya thamani ili kuwazidi na kuwalingishia wananchi anaowaongoza?

Kwa hiyo lengo la sugu na CHADEMA yake katika maandamano siyo yale wanayotamka katika ndimi zao,bali ni kuangalia ufukara wa watanzania,mavazi ya watanzania ,hali za wananchi pamoja na kuwalingishia utajiri wao waliouchuma kupitia viinua mgongo na maposho waliyovuna wakiwa wabunge. Hii ndio sababu wanawadharau watanzania na kuita kazi halali kuwa ni za laana kama alivyotamka lema hadharani.

Kumbe Wanawatesa watu katika mvua na safari ndefu za kutembea barabarani kwa ajili ya kuonyesha vito vyao vya thamani? Kwa hakika CHADEMA na viongozi wake imelaaniwa na ndio maana kwa upofu wa akili wanaandika ujinga huu katika mitandao ya kijamii.kwa sababu Mungu amewapiga upofu wa akili.maana kiongozi wa kamati kuu unayeguswa na maisha ya watu na mwenye dhamira ya kuwapigania wanyonge na unayetaka kuinua maisha ya watu siku ukipewa madaraka huwezi kujitapa kwa kuvaa vito vya thamani mwilini mwako .maana hiyo inamaanisha kuwa unapokuwa mstari wa mbele unakuwa unawakejeli waandamanaji kwa namna walivyo vaa vitu vya mitumba vilivyochoka na kuchakaa.

Hoja yangu siyo kumshambulia sugu kuwa asivae hivyo vito vya thamani ambavyo amejinunulia kwa pesa zake.bali ni kupinga ulimbukeni wake na kukosa kwake busara ,hekima na kutokujitambua kwake kwa kuanza kulingia vito vya thamani mbele ya waandamanaji anaowaona kuwa wamevaa vitu vya hovyo hovyo.hii ndio sababu CHADEMA inaendelea kupuuzwa na watanzania kwa kuwa ni mkusanyiko wa viongozi wahuni wahuni wasio na uchungu na maisha ya watanzania wala kuguswa na maisha ya watu zaidi ya kutafuta milango ya kupatia madaraka yatakayowapa fursa ya kuvuna pesa pasipo jasho ili baadaye waje wawatapikie matusi Watanzania.

Akili na mawazo haya ya sugu ndio waliyonayo viongozi karibu wote wa CHADEMA.wakishapata vijisenti kidogo tu wanaanza dharau,matusi, kejeli,ulimbukeni na utoto utoto tu na kusahau waliowafikisha hapo walipo. CHADEMA ni laana mbele ya watu waliostaarabika. Ni chama kinachopaswa kupingwa sana maana kinaweza kuleta ubaguzi mkubwa sana katika jamii na kuwafanya watu wengine wajione hawana thamani wala hadhi katika Taifa lao.wanaweza chochea hasira kubwa katika mioyo ya wananchi ambao wanaweza kuamua liwalo na liwe kuliko kudharaulika.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
🚮
 
Jene pas 🤣
Baache nibaletee ka le photo.

56c55e59973cceadd535d48ff62ff2e4.jpg
 
Back
Top Bottom