Sugu amjibu Mwita........

Sugu amjibu Mwita........

Jamani alichotoa Sugu ni Anti Virus Mix tape vol 2 kwa mafans wake, ajabu iko wapi hapo? by the way kitu ambacho hamjui kuhusu Sugu, ni kwamba yeye hafahamu kitu kinachoitwa Jamiiforums na Sugu sio mwanasiasa ni mwanaharakati, kwahiyo hakuna mwenye uwezo wa kumzuiya Sugu kuendelea na movement zake katika kile anachoamini.
 
Jamani alichotoa Sugu ni Anti Virus Mix tape vol 2 kwa mafans wake, ajabu iko wapi hapo? by the way kitu ambacho hamjui kuhusu Sugu, ni kwamba yeye hafahamu kitu kinachoitwa Jamiiforums na Sugu sio mwanasiasa ni mwanaharakati, kwahiyo hakuna mwenye uwezo wa kuendelea na movement zake katika kile anachoamini.

Hata mimi nashangaa kidogo mkuu.Naona watu hawajamwelewa muanzisha thread.I think huyu jamaa alitaka kusema yale mambo ambayo Mwita25 amekuwa akimchallenge nayo(his level of education in particular)Sugu yamejibiwa katika Antivirus mixtape II na si amemjibu Mwita25 as an Individual.Kwenye red sijakuelewa mkuu,ulitaka kusema nini?
 
Hata mimi mwenyewe nimeshausikia huo wimbo. Lugha ya matusi aliyotumia inadhihirisha ulimbukeni na ujinga wake tu na hakuna kingine. Mimi nitahakikisha kuwa hautarudi tena bungeni mwaka 2015 kwa njia yoyote ile. Sugu umeshatangaza vita na mimi na nakuhakikishia nitakupoteza bwana mdogo. Hako kaubunge kako ni kacheo kadogo sana na mshahara wako haufikai hata robo ya pato langu la mwezi.
 
Mtu kama mwita ni wa kudharauliwa tu.. he is rubbish

Jamani wana janvi huyu Mwita mnaemwita rubbish sio hivyo kwani anakuja janvini on a mission kuvuruga hoja zinazojadiliwa humu; kumbukeni huyu jamaa alijiunga na janvi baada ya ccm kulalamika juu ya influence ya JF kwa jamii na ndio wakaja na mkakati wa kuwapandikiza watu wao humu ili kuharibu mwelekeo mzuri wa majadiliano hasa yale yasiwapendeza ccm!! Hivyo yeye na FF hiyo ndio kazi yao waliotumwa, na kuwathibiti dawa yao ni kuwapuuza tu!!
 
Jamani kwani mwita 25 ni nani mpaka ajadiliwe?na wewe muanzisha mada unaposema Sugu kamjibu Mwita kwenye muziki wake unauhakika?kweli mtu kama Sugu anaweza kujibishana na KICHAA KAMA MWITA 25? WHO IS MWITA 25 IN THIS COUNTRY?DAMN
 
wewe the boss,usimuhukum Sugu kwa mziki wake but mhukum kwa ubunge wake yule ni Mwanamziki wa Hipop,he can sing any thing kama alivokua zamani.huwezi kumlazimisha Mbunge mganga *kuacha kuuza dawa zake kama zamani*
 
Hata mimi mwenyewe nimeshausikia huo wimbo. Lugha ya matusi aliyotumia inadhihirisha ulimbukeni na ujinga wake tu na hakuna kingine. Mimi nitahakikisha kuwa hautarudi tena bungeni mwaka 2015 kwa njia yoyote ile. Sugu umeshatangaza vita na mimi na nakuhakikishia nitakupoteza bwana mdogo. Hako kaubunge kako ni kacheo kadogo sana na mshahara wako haufikai hata robo ya pato langu la mwezi.
ha ha ha! we kijana inaonekana umepotoka sana,****nge sana .Pesa zako zinaweza kupambana na wingi wa kura za wananchi?hujui kama wapenda haki *tunampenda*Sugu*kiasi cha kuweza kukodi treni kwenda kumpigia kura huko! bila shaka huna lolote unatafuta pa kutokea mwenye pesa hajitangazi
 
Mwita25 kwa msema wangu nikwambie we ni ...TAHIRA...
Tatizo na magamba mnapenda ku2mia hela
WATANZANIA ha2danganyiki
Na sugu atashinda,na 2015 2taongeza majimbo
Sugu ni Sugu ni mwanaharakati wa ukweli toka mziki mpk siasa
 
Hata mimi mwenyewe nimeshausikia huo wimbo. Lugha ya matusi aliyotumia inadhihirisha ulimbukeni na ujinga wake tu na hakuna kingine. Mimi nitahakikisha kuwa hautarudi tena bungeni mwaka 2015 kwa njia yoyote ile. Sugu umeshatangaza vita na mimi na nakuhakikishia nitakupoteza bwana mdogo. Hako kaubunge kako ni kacheo kadogo sana na mshahara wako haufikai hata robo ya pato langu la mwezi.
<br />
<br />
Salaleeee mswalie mtume mwita25
 
jamani sugu mbona anaanza kujishushia hadhi?mwita nae ni mtu wa kujibishana nae?
 
Jamani kwani mwita 25 ni nani mpaka ajadiliwe?na wewe muanzisha mada unaposema Sugu kamjibu Mwita kwenye muziki wake unauhakika?kweli mtu kama Sugu anaweza kujibishana na KICHAA KAMA MWITA 25? WHO IS MWITA 25 IN THIS COUNTRY?DAMN
<br />
<br />
SUGU naye ni kichaa 2.. Huwezi kuwa mheshimiwa alfu ukawa unatukana kwa kkisongzo cha usanii
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
SUGU naye ni kichaa 2.. Huwezi kuwa mheshimiwa alfu ukawa unatukana kwa kkisongzo cha usanii
<br />
<br />
ametukana kwani kashika nani zako???? k#$%make!
 
sidhani kama kamjibu mwita, kwani kwenye mashairi hayo kamtaja kwa jina? Nadhani watu mnatafasiri hivyo lakini ukienda kwa sugu mwenyewe atakwambia yeye ameimba tu, ameimba maisha hajamuimba mtu yoyote. Kama imekugusa utahisi amekuimba wewe lakini kama haijakugusa utaiona kawaida tu.

Msanii akisha imba wimbo, huwaachia hadhira kuutafakari na kutoa maana ya wimbo huo ambayo hutofautiana mtu hadi mtu kulingana na life experience.
 
Hata mimi mwenyewe nimeshausikia huo wimbo. Lugha ya matusi aliyotumia inadhihirisha ulimbukeni na ujinga wake tu na hakuna kingine. Mimi nitahakikisha kuwa hautarudi tena bungeni mwaka 2015 kwa njia yoyote ile. Sugu umeshatangaza vita na mimi na nakuhakikishia nitakupoteza bwana mdogo. Hako kaubunge kako ni kacheo kadogo sana na mshahara wako haufikai hata robo ya pato langu la mwezi.
<br />
<br />

Wewe hapa ni anonymous sugu ni public figure ana ofisi na address inayofahamika. Kwa nini usiende kumpelekea ujumbe huo yeye moja kwa moja? Kuutoa hapa JF ni sawa na empty threats. By the way usijidanganye kuwa na pesa siyo kila kitu. Wana mbeya kama wana mtaka hata uwe bill gates wewe huwezi wazuia wampe kipindi cha pili bungeni. By the way ulikua na opportunity hiyo ya kumzuia 2010 nini kilikushinda?
 
Mh Joseph Osmond Mbilinyi ambaye ni mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania amemjibu ndugu mwita mmoja wa users wa hii blog ambaye amekuwa akimkashfu mara kwa mara hapa.Sugu kupitia albam mpya antivirus vol2 wimbo namba 19.
WHAT MORE I CAN SAY!

Forums

 
Mh Joseph Osmond Mbilinyi ambaye ni mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania amemjibu ndugu mwita mmoja wa users wa hii blog ambaye amekuwa akimkashfu mara kwa mara hapa.Sugu kupitia albam mpya antivirus vol2 wimbo namba 19.<br />
WHAT MORE I CAN SAY!
<br />
<br />

Na wewe usije kuwa unapotosha makusudi ili tu watu tuchangie hapa. Kwani kamtaja kwa jina? Nini kimekufanya useme target ni mwita na wala si ruge ama ma snitch wengine kama wana hip hop wanavosemaga?
 
Mh Joseph Osmond Mbilinyi ambaye ni mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania amemjibu ndugu mwita mmoja wa users wa hii blog ambaye amekuwa akimkashfu mara kwa mara hapa.Sugu kupitia albam mpya antivirus vol2 wimbo namba 19.<br />
WHAT MORE I CAN SAY!
<br />
<br />

Na wewe usije kuwa unapotosha makusudi ili tu watu tuchangie hapa. Kwani kamtaja kwa jina? Nini kimekufanya useme target ni mwita na wala si ruge ama ma snitch wengine kama wana hip hop wanavosemaga? Mkuu be sure kabla hujatuletea hii kitu
 
Back
Top Bottom