Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

Hapana, tunahitaji sana watu wa aina hii kwenye siasa na uongozi ili wawapeleke watu kwenye mafanikio.

Kiongozi chokoraa na kibaka, atakuongoza, akufikishe wapi?
Bila shaka.
 
Ukiwaona kwenye jukwaa P Diddy, Ashanti, Dr Dre, Ja Rule na Snoop Dogg umri waenda lakini wakiwa jukwaani ni kama enzi zao miaka ya 1990s, na uzuri majuzi Snoop alitangaza ameacha rasmi kutumia mmea.

Hawa watu huandaliwa special kwa ajili hiyo ya tamasha kubwa na kunakuwepo na strict rules mpaka siku ifike na ipite ndo waendelee na mambo mengine.

Ndo maana Ja Rule swaga lilelile, Dr yumo kwenye kinanda na Snoop akimwaga sera kwa mic.

Hivyo kwanza ni maandalizi, mkataba kutiwa saini, kampuni ilo serious, eneo la kufanyia tamasha na na wasanii legends kuitwa kambini ambako hakuna ujinga ikiwemo kuchoma mmea kwa muda hata miezi mitatu kabla.
 
Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
ELimu ni maarifa mkuu, elimu sio kuweka A" kwenye makaratasi

Ndio maana unaona akina diamond, harmonize na madarasa yao ya saba wanafanya mziki kimataifa

Maana mpaka umeuliza hivyo umetilia shaka kingereza
 
Mkuu, jaribu maharage ya Mbeya na yale ya Rukwa ni mazuri sana. Hata mahindi ni hivyo.

Pia kuna viazi khasa nyanda za juu kusini Mbeya, Iringa viazi mviringo,mbatata na hivyo ukiwa na lori la kukusanya kutoka kwa wakulima wadogowadogo.
 
Bora ageukie biashara ya maharage maana kwenye siasa Hana chake
 
Wacha kutapeli watu
 
Awachelewi kuchanga na mchanga mbongo sio.
Pana mwaka wavietnam walimport korosho bongo kufika kwao nusu korosho nusu kokoto.
Wakaamua kuimport mbegu za korosho nadhani mwakani wataanza kuvuna korosho.
Malaysia, Singapore walichukua mbegu za chikichi kigoma na Nigeria baada ya kung'oa mpira aulipi Leo wanatuuzia mafuta ya korie wakati tuna michikichi imejaa.
 
Usiondoke JF
 
We fala, Sugu kakalia kiti miaka 10, anachokumbukwa ni kutoa tusi la kidole cha kati.
Mbumbumbu kama ninyi mnaridhika na swaga za kijinga kabisa.
Nendeni kwa Sugu mkale maharage!
 
Waturuki sio wazungu umekosea hapo kusema eti waturuki ni Wazungu.
 
CCM waliopo madarakani hawakuwahi kujiajiri kwa namna yoyote wanasubiri pensheni ya wastaafu ya waajiriwa wa serikalini na katika chama pale Lumumba na makao makuu ya CCM.

24 March 2024
Arusha, Tanzania
WAONGOZA UTALII 500 WAMLILIA RAIS SAMIA, WANALIPISHWA DOLA 50, WENGI SASA HATARINI KUFA NJAA


View: https://m.youtube.com/watch?v=SJ7o7nGDoOo
Ujira wao waongoza utalii ni Tshs. 50,000/= lakini watatakiwa kulipia cash katika geti kwa fedha ya kigeni dola 50 za kimarekani .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…