nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 1,976
- 1,181
Shule ya msingiSijambeza, ni sawa na kuuliza swali "hivi Bakhresa ana elimu gani ? " Sio kwa ubaya mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule ya msingiSijambeza, ni sawa na kuuliza swali "hivi Bakhresa ana elimu gani ? " Sio kwa ubaya mkuu
Wazo lako limechukuliwaHivi ni kwanini Sugu na wasanii wenzie wa zamani (legends) wasifikirie wazo la kufanya tamasha kubwa kila mwaka kama la wasanii wanofanya kwenye superBall wapige hela kubwa?
Nikisema tamasha namaanisha tamasha kwelikweli au wafanye Tour nchi nzima.
Ila biashara au majukumu mengine kama ya ubunge waendelea nayo kama kawaida.
Tamasha hilo litakuwa "so sick and mind-boggling" sana.
Kuna tamasha linafanyikaga alliance france pale la wasaniiHivi ni kwanini Sugu na wasanii wenzie wa zamani (legends) wasifikirie wazo la kufanya tamasha kubwa kila mwaka kama la wasanii wanofanya kwenye superBall wapige hela kubwa?
Nikisema tamasha namaanisha tamasha kwelikweli au wafanye Tour nchi nzima.
Ila biashara au majukumu mengine kama ya ubunge waendelea nayo kama kawaida.
Tamasha hilo litakuwa "so sick and mind-boggling" sana.
Wazo zuri sana hiliHivi ni kwanini Sugu na wasanii wenzie wa zamani (legends) wasifikirie wazo la kufanya tamasha kubwa kila mwaka kama la wasanii wanofanya kwenye superBall wapige hela kubwa?
Nikisema tamasha namaanisha tamasha kwelikweli au wafanye Tour nchi nzima.
Ila biashara au majukumu mengine kama ya ubunge waendelea nayo kama kawaida.
Tamasha hilo litakuwa "so sick and mind-boggling" sana.
Tulishaambiwaga soko la MIHOGO limepatikana at the end tuka respond nalo kilichotutokea balaaa
Wale mnaohukumu kitabu kwa muonekano wa jarada lake kumbe mpo!!??Hapo hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua kontena 250 za Maharage. Jamaa zimepauka hivyo, pesa watatoa wapi? Jamaa hao muonekano wao ni wa kimaskini tu.
Hii idea ya kudhamini tamasha kama hilo ninayo sema hela ndio sina. Mpaka nipate hela wasijekuwa wamezeeka wote au wamefariki, au nisipate hizo hela.Hivi ni kwanini Sugu na wasanii wenzie wa zamani (legends) wasifikirie wazo la kufanya tamasha kubwa kila mwaka kama la wasanii wanofanya kwenye superBall wapige hela kubwa?
Nikisema tamasha namaanisha tamasha kwelikweli au wafanye Tour nchi nzima.
Ila biashara au majukumu mengine kama ya ubunge waendelea nayo kama kawaida.
Tamasha hilo litakuwa "so sick and mind-boggling" sana.
Vyeti vyao walikukabidhi unaishi navyo?ukweli unauma
Chadema ndio chama cha tegemeo kwa Watanzania.Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki
View attachment 2938598
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
View attachment 2938599
Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .
Sugu Mkombozi wa wakulima
Elimu sisi haituhusu tunataka soko kwanza tuuze mazao yetuHivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Wa CCM wanajua kuiba pekeeCHADEMA inatekeleza agenda ya maendeldo ya watu kwa vitendo na ndiyo maana viongozi wake wanaojua kujiajiri mfano Joseph Mbilinyi Sugu , Meya Boniface, Freeman Mbowe, Mungai, Peter Msigwa na wengine wengi wanafaa kuongoza nchi katika kuanzia udiwani hadi uongozi wa juu nchini ili maendeleo ya watu yapatikane.
Tofauti na wale wa chama dola kongwe, ni waajiriwa wa serikalini na bungeni hivyo hawajui biashara wala maana ya kujiajiri hivyo muda wote sera za CCM ni kukandamiza raia waliojiajiri kama wakulima, wavuvi, wafugaji,wafanyabiashara.
CCM wanawaza kuweka mageti kuzuia mazao ya wakulima, hawana mpango kuweka mazingira ya uvuvi yawe mazuri ingawa tuna bahari na maziwa yenye samaki, wanafungia magazeti binafsi, wanavyeka mazao ya mbogamboga (horticulture), kubomoa kumbi za starehe Bilicana n.k hii ni Kwa sababu viongozi wa CCM waliopo madarakani hawakuwahi kujiajiri kwa namna yoyote wanasubiri pensheni ya wastaafu ya waajiriwa wa serikalini na katika chama pale Lumumba na makao makuu ya CCM.
KajiandikisheKama ni kweli hongera zake aanze kununua sasa sababu yeye ndie anajua hilo soko
Atanunua bei gani kwa kilo?
Hatuhitaji kujua atauza kule uturuki bei gani hayo ya kwake
Yule ajuza ameenda Uswizi na IPC yake ya mchongo ambayo haina faida kwa wana MbeyaChadem
Chadema ndio chama cha tegemeo kwa Watanzania.
Hawa wengine ni jukwaa la kugombea matumbo yao
Jamaa network yake siyo ya kitotoHongera Sana Sugu.
Chekechea.Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Hao maprofesa wenu wa elimu ya tanzania waliwahi kubuni nini lenye tija kwa jamii?Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Sugu au Sugunyo ni form leaver Tena failure,ila ni mwenye exposure kubwa sana na kujiongeza kwa sana,street smart na kwa sugu ni ushahidi kuwa education system ndio inayo fail sio mtu.TujiongezeeeHivi level ya elimu ya sugu ni ipi?