Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

Tulishaambiwaga soko la MIHOGO limepatikana at the end tuka respond nalo kilichotutokea balaaa
Tanzania soko la mihogo lipo tena kubwa.Kiwanda cha Azania Millers pale ubungo hununua makopa ya mihogo iliyokaushwa kuanzia tani kumi kiasi chochote hata uwe na tani milioni moja
Mwenye mihogo hiyo iliyokaushwa aweza dhibitisha hilo awasiliane nao awaulize bei wananunua awapelekee pale kiwandani
 
Kasoma Sabasaba Secondary mwaka 1990 mpaka 1992
Screenshot_2024-03-19-07-55-27-79.jpg

Aisee sawa mkuu ila Hii hapa CV yake na kwa maelekezo yako Inamaana O Level alisoma miaka Mitatu baada ya hapo A level akasoma mwaka mmoja. Anyways inawezeka sipo sahihi.
 
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki

View attachment 2938598

Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia

View attachment 2938599

Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .

Sugu Mkombozi wa wakulima
Hapo hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua kontena 250 za Maharage. Jamaa zimepauka hivyo, pesa watatoa wapi? Jamaa hao muonekano wao ni wa kimaskini tu.
 
Tupate quantities zinazohitajika, bei zake CIF Instanbul, vipimo vya ubora, lini maharage yanahitajika.
Sugu hana jibu lolote kati ya vigezo tajwa.
Huyu jamaa kaigia ghetto za wasela wenzake Instanbul.
Ukiniambia walikuwa wanajadiliana namna ya kusafirisha misokoto, labda.
Sugu ni msela wasela huzeeka na usela wao baharia kama baharia kaamua kuachia masnap yake akiwa mantoni na masela wenzie huyu mleta mada kawaka kisa weupe! Juzi kati alipiga picha na balozi wa america kaamua kutengeneza photo album ya miaka 50!
 
Sugu ni msela wasela huzeeka na usela wao baharia kama baharia kaamua kuachia masnap yake akiwa mantoni na masela wenzie huyu mleta mada kawaka kisa weupe! Juzi kati alipiga picha na balozi wa america kaamua kutengeneza photo album ya miaka 50!
These guy cant think straight.
Anafikiri wengine wote ni wasela wenzake.
Mkao tu wa hapo kikao cha si WA KIBIASHARA!
Hakuna karatasi lolote la kuchukua kumbukumbu au makubaliano.
Mtu ana chat na simu, no records za proceedings!
Bangi mbaya!
 
View attachment 2938677
Aisee sawa mkuu ila Hii hapa CV yake na kwa maelekezo yako Inamaana O Level alisoma miaka Mitatu baada ya hapo A level akasoma mwaka mmoja. Anyways inawezeka sipo sahihi.
Hizi CV za bunge mara nyingi hazijazwi kwa ukweli na naona mara zote wanatimiza wajibu tu..
Angalia hapo Chini inasema proffesor Jay alianza Mziki mwaka 2004

Sasa inamaana alikiba kaanza mziki Kabla ya proffesor jay?
Screenshot_20240319_084817_Chrome.jpg


Kama unaziamini Basi utaamini pia kuwa Hamisi Mwinjuma au MwanaFA alitoka Diploma na akaenda Moja kwa Moja Master degree ya Finance
Screenshot_20240319_085120_Chrome.jpg
 
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki

View attachment 2938598

Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia

View attachment 2938599

Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .

Sugu Mkombozi wa wakulima
Twambie maharage watanunua kwa Tsh ngapi?
Maharage yanayo hitajika yana sifa gani?
Hao wanao nunua wanatoka wapi?
Hayo maharage wataanza kununua lini na mwaka gani?
 
CHADEMA inatekekeza agenda ya maendeldo ya watu kwa vitendo na ndiyo maana viongozi wake wanaojua kujiajiri mfano Joseph Mbilinyi Sugu , Meya Boniface, Freeman Mbowe, Mungai, Peter Msigwa na wengine wengi wanafaa kuogoza nchi katika kuanzia udiwani hadi uongozi wa juu nchini ilimaendeleo ya watu yapatikane.
Msaidieni Heche na yeye ajiajiri. Elimu pia huwa inamponza Sana yeye kila kitu anadhani ni matumizi ya maguvu na Kiswahili chake cha kuparaza.
 
Acha kutuganyana, kama uwezo wako kufikiri sawa na Sugu sema.
Kwanza Waturuki kwa taarifa yako si wazungu, sugu we!
Halafu bilateral agreements hazifanyiki vijiwe vya kahawa na wasela waliovaa vikaptula.
Sema Sugu kaenda tafutiwa dame mitaani Instanbul, tutakuelewa.
Nyie endeleeni na Uchawa wa kuisifia CCM, ndio kazi mnayoweza
 
Back
Top Bottom