Christopher krugger
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 215
- 392
Naskia harufu kama ya watu wanakuja kupigwa na kitu kizito balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajamba hovyo umekula maharage ya Mbeya au?Nyie endeleeni na Uchawa wa kuisifia CCM, ndio kazi mnayoweza
Sijambeza, ni sawa na kuuliza swali "hivi Bakhresa ana elimu gani ? " Sio kwa ubaya mkuuis does not matter about education level , ana spirit ya ujasilia mali
Elimu hii hii ya Tanzania??Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Wakati mwingine ficha ujinga wakoNyie hao wenye elimu huko juu wamewasaidia nini
Ova
akiwa hajapuliza moshi anaonekana mwema sana 🐒Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki
View attachment 2938598
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
View attachment 2938599
Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .
Sugu Mkombozi wa wakulima
ukweli unaumaWamevunja sheria za nchi kusoma hadi la saba?
Kwani hilo ndio jibu ? Mbona unauliza swali juu ya swali.Elimu hii hii ya Tanzania??
Basi jamaa kapambana sana, yupo vizuri kichwaniDarasa la saba pamoja na Erythrocyte wake
Big up man.Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki
View attachment 2938598
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
View attachment 2938599
Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .
Sugu Mkombozi wa wakulima
Hizi CV za bunge mara nyingi hazijazwi kwa ukweli na naona mara zote wanatimiza wajibu tu..
Angalia hapo Chini inasema proffesor Jay alianza Mziki mwaka 2004
Sasa inamaana alikiba kaanza mziki Kabla ya proffesor jay?
View attachment 2938708
Kama unaziamini Basi utaamini pia kuwa Hamisi Mwinjuma au MwanaFA alitoka Diploma na akaenda Moja kwa Moja Master degree ya Finance
View attachment 2938710
cheki vita atakayopigwa uone ngozi nyeusi tulivyo na laanaMbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki
View attachment 2938598
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
View attachment 2938599
Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .
Sugu Mkombozi wa wakulima
Sasa we unatak jifananisha na suguThese guy cant think straight.
Anafikiri wengine wote ni wasela wenzake.
Mkao tu wa hapo kikao cha si WA KIBIASHARA!
Hakuna karatasi lolote la kuchukua kumbukumbu au makubaliano.
Mtu ana chat na simu, no records za proceedings!
Bangi mbaya!
Hahahaaa mkuu humu Kuna watu wazushi sana.Sioni cheti cha A level mentioned hapo.
Sugu form 4View attachment 2938758
Mazee najaribu kuipandisha hii interview hapa JF lkn inagoma hebu mkuu nenda YouTube kaitafute hii interview ya salama aliyofanya na sugu anzia dakika ya 8 hadi ya 12 halafu ukimaliza njoo hapa utuambie Elimu ya Sugu au vp Pengine hata yeye nimuongo tu haijui elimu yake.
Yap Ndivyo navyojua mkuu na ni moja kati ya ma "Hustler" naowaeshimu sana plus ana exposure. Maana msela kaanza kujitafuta na kupiga misele duniani kiatambo sana.Sugu form 4
+ alipomaliza shule akaingia kwenye kazi na harakati zake
Za mziki
Ova
Huyo jamaa ndiye anayefagia ofisi ya Tulia MbeyaNyie endeleeni na Uchawa wa kuisifia CCM, ndio kazi mnayoweza
Sugu mm nko form 1 mbeya sangu secYap Ndivyo navyojua mkuu na ni moja kati ya ma "Hustler" naowaeshimu sana plus ana exposure. Maana msela kaanza kujitafuta na kupiga misele duniani kiatambo sana.