Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana akili, Hana uchumi, Ni chawa wa kichochoroniAgombe serikali za mitaa
Ova
Labda wewe ndiye huna akili.Hana akili, Hana uchumi, Ni chawa wa kichochoroni
TeteteSugu abubujikwa machozi ya Furaha 😂😂😂
We mgeni???Ni nani huyo mwanasiasa maarufu huko kanda ya nyasa.
Sugu si habari tena hapa jiji,ni Bora akatulia mpaka Dada wa dunia utakaposema inatosha.vinginevyo atapoteza visenti vyake tu kwenye kampeni.2020 alitumia kilikuu kupiga kampeni,safari akijichanganya atatumia guta.Miaka 10 aliyoongoza jimbo inamtosha,hatuna historia ya mbunge kuongoza zaidi ya miaka 10 Mbeya jiji.aachie wenzie nao wajaribu bahati yao japo Wana Ccm hawatafanya makosa Yale tenaPalikuwepo wasiwasi Kwamba Mwanasiasa Maarufu Kanda ya Nyasa Lucas Mwashambwa atachukua form za kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini.
Uvumi huo ulimfanya mbunge wa zamani Joseph Mbilinyi (Sugu) Kupata mchecheto kwani anamuhofia Zaidi Lucas kuliko Dr Tulia.
Hata hivyo Lucas amesema yeye hana nia ya kugombea Ubunge na amejielekeza katika kuhakikisha DrTulia anashinda 2025.
Nawatakia Sabato Njema 😄😄
Vipo wapi vichekeshoHivi vichekesho huwa mnavipataje wenzetu?
Si hivi vinavyonibubujisha machoziVipo wapi vichekesho