Hata mariam alimzaa yesu bila yusuf
Usihukumu ww, ushahidi wa mtu mmoja dhidi ya mwingine pasipokuwepo mtu wa tatu ni mgumuDuh kumbe livutaji bangi,ndio maana linabwabwaja na kutukana tu,lkn faiza hapo umetuziba macho,sio amejaribu kukuf...naamini ameshakufanyia hvyo sana tu,huwezi kujikwamua kwake kwa hilo,duh kumbe limuheshimiwa jitu la kupenda ndogo!!haya wacha move iendelee tusubiri stering azindukane maana kazimia.
Loh, muda mwingine uchaguzi wa mpenzi sahihi huwa wa maana zaidi, unaweza ku fall in love na mtu then baadae ukajuta maisha yako yote kwa nini ulimpenda...
Loh, muda mwingine uchaguzi wa mpenzi sahihi huwa wa maana zaidi, unaweza ku fall in love na mtu then baadae ukajuta maisha yako yote kwa nini ulimpenda...
Mhu binamu! Umeongea kwa hisiiia!
Huyu demu anaonyesha kabisa hafai kuwa mama wa mtoto. Huu ujinga inaoinyesha sugu was right. Huwezi ukawa mtu unajiheshimu ukatumia lugha isiyo na staha kwenye jamii
😕😕ameshajaribu kumfi.a au alikuwa anamfir....habari nyingine za kujivua nguo hizi