Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

Status
Not open for further replies.
Nao wananchi wa Mbeya Mjini nao hamnazo, utamchaguaje mwendawazimu kama Sugu anayetembea na kuzaa na hamnazo kama Faiza? Mwanaume mwenye akili sawa sawa hawezi kufuata malaya kama yule. Huu ni wakati wa wana Mbeya kujipima ili Oktoba ikifika muamue mambo ya maana. Tupa mbali sugu na Faiza.
 
Dah jamani mtoto anauma nampa pole Sana
 

Hapo kwenye kipato si angemuwezesha mama wa mtoto ili awe na uwezo wa kumlea binti....

Ila inauma aiseee kunyanganya mtoto... Hata kama fyuzi zilikata lazima zijiunge fasta.. Namuonea huruma tu
 
Hapo kwenye kipato si angemuwezesha mama wa mtoto ili awe na uwezo wa kumlea binti....

Angemuwezesha kivipi sasa?

Kwani yeye hawezi kutafuta shughuli za kufanya za kumwingizia kipato?

Mbona kuna wanawake wengi tu wanaojiwezesha wenyewe bila kuwezeshwa?

Huyo Faiza hana akili za kutosha kuweza kujiwezesha mwenyewe?
 
Hili nalo neno

Ukutane na mtu club akiwa kavaa upaja nje azae nae halafu ategemee apige madera????

Faiza ni sista duu wa kujiachia ila baada ya kumwagwa na Sugu amepitiliza amekuwa chizi kabisa sielew kapatwa nini. Ni hatari ata kwa mtoto haya mabadiliko.
 
ukiongelea vazi tu mkuu naona hapana.... kuna watu wanavaa vizuri lakini hawana ulezi bora kwa watoto wao.... kwa kuangalia mavazi hukumu haijatenda haki... kuna kahali fulani cha kukomoana kipo

Mkuu miss chagga,toka lini mzazi ama mlezi avaaye nguo zisizo na heshima akawa na malezi ya maadili kwa wanae? Inawezekana kwa mzazi/mlezi anayevaa mavazi ya heshima kuwa na malezi mabovu lakini si kwa anayevaa kihuni kuwa na malezi mazuri.
Unaweza usilione hili kwa kuwa tu unajaribu kutetea upande usiostahili.
Naunga mkono maamuzi yaliyochukuliwa.
 
Angemuwezesha kivipi sasa?

Kwani yeye hawezi kutafuta shughuli za kufanya za kumwingizia kipato?

Mbona kuna wanawake wengi tu wanaojiwezesha wenyewe bila kuwezeshwa?

Huyo Faiza hana akili za kutosha kuweza kujiwezesha mwenyewe?

Ndio tupo wengi tumejiwezesha wenyewe lakini huyu baada ya kuachwa naona ka kajikatia tamaa vile....
 
Ndio tupo wengi tumejiwezesha wenyewe lakini huyu baada ya kuachwa naona ka kajikatia tamaa vile....

Basi kama kajikatia na tamaa ni afadhali kwanza anyang'anywe hiyo custody ya mtoto ili aweze kwenda kutafuta msaada wa matatizo yake [pengine ana matatizo ya kiakili]na baada ya hapo afanyiwe tathmini kama karudi kwenye hali ya kawaida ili kuangalia uwezekano wa kurudisha tena haki yake ya uangalizi na ulezi wa mtoto.

Kwa sasa, kulingana na matendo yake kiujumla kama ilivyoonwa na mahakama, hafai kuwa mlezi na mwangalizi wa huyo mtoto.

Hafai kabisa.
 

Labda baada ya hili anaweza kujifunza akaamua kubadilika kwa ajili ya mwanae..


Akijirekebisha inawezekana akapewa mtoto ili amlee tena??
 
Labda baada ya hili anaweza kujifunza akaamua kubadilika kwa ajili ya mwanae..


Akijirekebisha inawezekana akapewa mtoto ili amlee tena??

Akijirekebisha na akionyesha na kuthibitisha kweli kuwa kajirekebisha sioni kwa nini asiweze tena kupewa haki yake.

Lakini ajue kuwa hiyo haki si yake peke yake. Hata Sugu naye anayo hiyo haki.

Ila sina hakika sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu hayo mambo ya custody.

Nampongeza sana Sugu kwa kuwa baba mzuri na kulinda maslahi ya bintiye.
 

Nenda mbeya ukatangaze nia wewe usiye mwendawazimu.
 
She deserves this!

Eti atajirekebisha!, anakumbuka shuka wakati kumekucha?!, so wakati anafanya upuuzi alijua ni upuuzi lakini akafanya makusudi kumkomoa Sugu pasipo kufikiria malezi bora ya mtoto?!, akili yote ilikuwa kutaka kumuumiza baba mtoto na si kwa mtoto.
Sasa mtoto anaenda ndio ashtuke na kujitambua kumbe!, 'alikuwa na mtoto'

WAY TO GO SUGU!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…