Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

Status
Not open for further replies.
Kweli japo ni chini ya umri lakini ni bora kuliko kuacha aharibiwe na mtu asiejitambua anawezaje kutambua mtoto maana huyo mama anaonekana wazi kutojitambua
 
Kama kwa macho yetu tumeshuhudia jinsi alivyo jee vipi anapokuwa kwenye mambo ambayo hatuyaoni kama unavyosema wewe? umeshindwa kujenga hoja yako,tatizo la watanzania ni kuigiza mambo ya wazungu? huwezi kuvaa chupi mbele ya watu eti kwa ajili ya mtindo tu, huo ni ujinga kabisa,zamani dada zetu,mama zetu hawakuwa na nguo hivyo walilazimika kujifunga kiunoni na kwenye sehemu ya matiti ili angalau kujisitili, baadaye tukapata mavazi,sasa hawa wanaoturudisha huko kwenye primitive era wana maana gani kama si upumbavu tu? kuna mambo mengi taifa hili linahitaji wavumbuzi ili tusonge mbele ki uchumi na si kuvumbua mitindo ya kukaa uchi jamani.

Alikuwa rafiki yangu facebook, nikashindwa kumvumilia anayo yaonyesha hivyo nikamdelete kabisaa!
 
ukiona wanawake wanaotetea huu ujinga ulikuwa unafanyika huyu Faiza basi ujue hata hao wana tabia mbaya kama huyo mwanamke .Mwanamke una mtoto wa kike halafu unakuwa na tabia kama hizi za Faiza unategemea mtoto wako atakuja kuwa na tabia gani. miss chagga mtani wangu uko poa .
 
Hapa walikutana sugu bangi mke bangi zaidi kwahiyo ni mchanga na ulezi.
 
ukiongelea vazi tu mkuu naona hapana.... kuna watu wanavaa vizuri lakini hawana ulezi bora kwa watoto wao.... kwa kuangalia mavazi hukumu haijatenda haki... kuna kahali fulani cha kukomoana kipo
nadhani mmesahau kuwa kuna siku aliandika ajafanywa siku nyingi, huyo bint anamatukio ya kishetani
 
mahakama imefanya uchunguzi kuthibitisha hilo au hicho kivazi tu ndiyo kimekuwa go ahead.... something haipo sawa

Mie ni muumini wa kutetea kuhusu mahusiano ya mavazi na tabia ya mtu, lakini kwa huyu bidada na pamba zake hata kama ni mama bora inakuwa ngumu kuamini kama anatekeleza majukumu yake vizuri (ukitaka kuhoji vizuri embu fanya assumtion huyo alikuwa mke wa kaka yako au mwanao uone kama itakuwa sawa)
 
Mie ni muumini wa kutetea kuhusu mahusiano ya mavazi na tabia ya mtu, lakini kwa huyu bidada na pamba zake hata kama ni mama bora inakuwa ngumu kuamini kama anatekeleza majukumu yake vizuri (ukitaka kuhoji vizuri embu fanya assumtion huyo alikuwa mke wa kaka yako au mwanao uone kama itakuwa sawa)

Perception creates reality na first impression last conclusion huyo binti atamsumbua sana mshkaji kwakuwa ni atention seeker...sugu naye ni atention seeker lakini hapa kagonga mwamba
 
Wajina wake FaizaFoxy atulie tu Sugu alee mtoto hata Mie siwezi kukubali mtu Kama Faiza alee mtoto.
 
Hapo kwenye kipato si angemuwezesha mama wa mtoto ili awe na uwezo wa kumlea binti....

Ila inauma aiseee kunyanganya mtoto... Hata kama fyuzi zilikata lazima zijiunge fasta.. Namuonea huruma tu

Kwenye mahusiano mkikorogana anaeangaliwa ni mtoto na hata ukienda kushitaki utaambiwa ulete hesabu za matumizi ya mtoto huku wewe mzaa chema ukitakiwa uwe una kwako hivyo kipato kitakacholetwa na baba mtoto ni cha mtoto
 
Perception creates reality na first impression last conclusion huyo binti atamsumbua sana mshkaji kwakuwa ni atention seeker...sugu naye ni atention seeker lakini hapa kagonga mwamba

Mjini kuna mambo yaani mtu anapenda kuwa attrmtion seeker alafu mwisho wa siku hana address anategemewa kulipiwa kodi
 
Hapo kwenye kipato si angemuwezesha mama wa mtoto ili awe na uwezo wa kumlea binti....

Ila inauma aiseee kunyanganya mtoto... Hata kama fyuzi zilikata lazima zijiunge fasta.. Namuonea huruma tu

* Unamuonea huruma? Anadeserve...

* Huyo mdada mwenyewe inaonekana ni mcharuko ndio maana Sugu alikataa kumlipia hata kodi ya nyumba...
 
* Ishu sio mavazi tu...grounds za Sugu zilikuwa nne:

* Kuvaa mavazi ya nusu utupu, kupiga picha za nusu uchi na kuyatupia mtandaoni...

* Kumpiga mtoto picha mbaya ya kuyatupia humohumo mtandaoni...

* Kusafiri mda mrefu na kuwa mbali na mtoto...

* Kutokuwa na kipato cha kuweza kumlea mtoto...

Aisee bora kamchukua!!
Kwa SBB hizi mtt angekuwa malay*
 
Mbaya zaidi hata mtoto akikuwa mtu mzima atakuja kufahamu tu sababu ya yeye kulelewa na baba ni mahakama ndiyo iliyomnasua kutoka kwenye malezi mabaya ya mamake,sijui atakuja kumchukuliaje mama yake aisee
 
Kweli kabisa mkuu!janajike halijiheshi hata kidogo cjui limekula maharage ya wapi lileee!
Basi kama kajikatia na tamaa ni afadhali kwanza anyang'anywe hiyo custody ya mtoto ili aweze kwenda kutafuta msaada wa matatizo yake [pengine ana matatizo ya kiakili]na baada ya hapo afanyiwe tathmini kama karudi kwenye hali ya kawaida ili kuangalia uwezekano wa kurudisha tena haki yake ya uangalizi na ulezi wa mtoto.

Kwa sasa, kulingana na matendo yake kiujumla kama ilivyoonwa na mahakama, hafai kuwa mlezi na mwangalizi wa huyo mtoto.

Hafai kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom