Sugu atangaza rasmi kumsapoti Jide Ijumaa

Sugu atangaza rasmi kumsapoti Jide Ijumaa

Huyu mwanafatuma atajilaumu for the rest of her life,kwa upuuzi alioufanya kapoteza mashabiki makini,ikiwemo na mimi.

Hakuna kitu kinachoudhi kama mtu kujirahisi kwa ajili ya kitu.
Halafu kwa ufinyu wa mawazo hujui kuwa kumbe kile kitu ni chako ila unazungukwa.
Anazidi kukauka kama kala cement ya pakistan


.
 
FA. akili zako bado hazina akili unakubali vipi kutumika. kwa maslahi ya watu wengine! sikupendi na sikukubali tena kwa hiyo tabia yako ya kichoko
TUPO PAMOJA KAKA,kutumika kama Kondom noma sana!!!.Nimeanza kumchukua FATU.
 
Huyu sugu haya akiimba bure mimi siingii hana swaga wala style huyo jide sauti za nyimbo zake sasa hata mchiriku inanafuu zinaumiza masikio bora nikaziweke kwenye mashamba yangu ya mpunga kufukuzia ndege

We jamaa nimeamini kweli umetumwa yani kila niendako upo duh we kama ni mwanaume siku mke wa ruge akisafiri unaweza wajibika kwa kweli... Sema huna kiingilio sio hauingii..
 
Huyu sugu haya akiimba bure mimi siingii hana swaga wala style huyo jide sauti za nyimbo zake sasa hata mchiriku inanafuu zinaumiza masikio bora nikaziweke kwenye mashamba yangu ya mpunga kufukuzia ndege
Unawashwa na
shakebutt.gif
 
NO Apology! Live on stage like those old gold days!
Too Proud lazima upande na wale jamaa hatari GWM then Mapacha a.k.a maujanja supplier!
Lazima waombe vigoda wakae hahaha!

ambakati chembe kidevu lazima wakae ant-virus with no apology
 
Sugu kwa hili hajatenda haki, pale nyumbani lounge hapatoshi sehemu ni ndogo sana, mimi nina hamu ya kwenda kuona wakiimba na Jide ile nyimbo ya mambo ya Fedha.
 
Jide Stays Winning. Pole MwanaFAtuma, Rugay, na Kusagwa.
 
bado dogo daimond, afande sele na huyo aliyejiunga cdm majuzi
natamani nao wawepo.
 
Sugu kwa hili hajatenda haki, pale nyumbani lounge hapatoshi sehemu ni ndogo sana, mimi nina hamu ya kwenda kuona wakiimba na Jide ile nyimbo ya mambo ya Fedha.

Kweli mkuu pale Nyumbani hata nje padogo saaana hasa uwepo wa Sugu pia!
 
Hakuna kitu kinachoudhi kama mtu kujirahisi kwa ajili ya kitu.
Halafu kwa ufinyu wa mawazo hujui kuwa kumbe kile kitu ni chako ila unazungukwa.
Anazidi kukauka kama kala cement ya pakistan


.

LOL embu nihabarishe cement ya pakistan ikoje??,huyu hakufaanya feasibilty study juu ya matokeo ya hiyo shoow yake na kujiingiza katika bifu lisilomuhusu bora hata t.i.d aliyejito tu kwa roho safi
 
Mtu kama dunia yako ni JF unaweza ukadhani ulimwengu mzima unauchukia Clouds kumbe wapi! Ni vidudu watu wachache sana ila wenye kelele sana ndo wanafanya ionekane hivyo.
 
Back
Top Bottom