Sugu awachana Clouds,Jay Dee na aina ya T.I.D,Barnaba

Sugu awachana Clouds,Jay Dee na aina ya T.I.D,Barnaba

Kilichoboa leo ni habari za lady jaydee na ruge kupeleka bungeni, soon tutasikia za wema sepetu bungeni,
Mimi nasema mara nyingi wabunge baadhi wa cdm wamekuwa wanashinda jf kuokota habari halafu wanaingia nazo bungeni,
Tazama habari za sugu, msigwa, lema, nyingi zinatoka hapa jf
 
Waliomchagua wamekula garasha katiba iwwke masharti ya ubunge kuppimwa akili then bangi
 
mkuu,upeo wake ndo umeishia hapo halafu anajiona kuwa yeye ndo amesoma,hajui kuwa hata wasiosoma wakati mwingine wana hoja,hasemi kama tuhuma za sugu zina mantiki au la,yeye anamuona kama mvuta bangi tu

Mkuu Steveachi nakubaliana nawe 100%.
 
Huyu mbunge wa mbeya jaman hamna kitu kichwani kweli nimeamini kama usipoenda shule na ukawa unatumia majani utakuuwa na matatizo kidogo sasa katika kuwakilisha maoni ya kambi ya upinzani leo lengo lilikuwa si kushauri bali kutafuta sifa.
Anaongelea vinega jamani hao vinega hata leo mseme show bure watu hawataingia hawana mvuto
Huyo jaydee na prof jay ndio wameloweka jay dee akumbuke dhambi aliyoifanya 2002 ndio inamtafuna mpaka sasa nyimbo zenyewe sasa kama kelele za kundi la nyuki wakiwa wanapita

Umekosea, hamna kitu kichwani ni Jk alieahidi treni ya umeme kwenda mwanza, meli mpya mwaziwa yote nchini!! Hatekelezi anachekacheka tu!
 
mtoa mada inaonekana unatumiwa na maharamia wa sanaa nchini kwanza ulichoandika hakina kichwa wala miguu ulichoshika kwene hotuba ya sugu ni vinega tu basi kasome tena hotuba yake vizuri naamini utamwelewa

Inawezekana ndio haramia mwenyewe.
 
Huyu mbunge wa mbeya jaman hamna kitu kichwani kweli nimeamini kama usipoenda shule na ukawa unatumia majani utakuuwa na matatizo kidogo sasa katika kuwakilisha maoni ya kambi ya upinzani leo lengo lilikuwa si kushauri bali kutafuta sifa.
Anaongelea vinega jamani hao vinega hata leo mseme show bure watu hawataingia hawana mvuto
Huyo jaydee na prof jay ndio wameloweka jay dee akumbuke dhambi aliyoifanya 2002 ndio inamtafuna mpaka sasa nyimbo zenyewe sasa kama kelele za kundi la nyuki wakiwa wanapita

Yuko pale na wewe upo ulipo, nani asiye na kitu kichwani? Kama Sugu hana kitu kichwani, kwa maoni yako hao waliomweka hapo alipo bila shaka hawana vichwa; siyo?
 
Pengine umezoea kiingereza kitumie maana kiswahili hapa hakieleweki ulichoandika. Heading haieandani na ulichoandika. Au pengine ni majungu umeleta kimtindo
 
Waliomchagua wamekula garasha katiba iwwke masharti ya ubunge kuppimwa akili then bangi

Ubunge uanzie masterz mkuu hawa vilaza wanaokula majani asubuhi asubuhi ni tatizo sana watu wanakula supu yeye majani sasahivi atamtumia jay dee kutafuta sifa wakati mbeya matatizo lukuki
 
Huyu mbunge wa mbeya jaman hamna kitu kichwani kweli nimeamini kama usipoenda shule na ukawa unatumia majani utakuuwa na matatizo kidogo sasa katika kuwakilisha maoni ya kambi ya upinzani leo lengo lilikuwa si kushauri bali kutafuta sifa.
Anaongelea vinega jamani hao vinega hata leo mseme show bure watu hawataingia hawana mvuto
Huyo jaydee na prof jay ndio wameloweka jay dee akumbuke dhambi aliyoifanya 2002 ndio inamtafuna mpaka sasa nyimbo zenyewe sasa kama kelele za kundi la nyuki wakiwa wanapita

Si lazima u-create topic unaweza kusoma tu mawazo ya wenzio usingizi ukija ukalale.
 
Mkuu Steveachi nakubaliana nawe 100%.

mkuu Kennedy nikuite the remedy,wasomi wengi wa ki-tz wanaamini wasiosoma hawana chochote wanachokijua,wanakosea sana kwani mara nyng madai yao huwa ni ya ukweli ingawaje huwa hayapo kimpangilio,wawaheshim kujenga taifa le2 2kufu
 
Last edited by a moderator:
Kama humuelewi ujue hakuhusu endelea kufuatilia wanaokuhusu,wanambeya,wanamuziki na wapenda maendeleo ya

wasanii ni wazi wanamuelewa.

Kuwa gamba tabaaaabu sana.


Sugu huwa simwelewi bungeni anawakilisha jimbo lake au anawakilisha bongo fleva.
 
Huyu mbunge wa mbeya jaman hamna kitu kichwani kweli nimeamini kama usipoenda shule na ukawa unatumia majani utakuuwa na matatizo kidogo sasa katika kuwakilisha maoni ya kambi ya upinzani leo lengo lilikuwa si kushauri bali kutafuta sifa.
Anaongelea vinega jamani hao vinega hata leo mseme show bure watu hawataingia hawana mvuto
Huyo jaydee na prof jay ndio wameloweka jay dee akumbuke dhambi aliyoifanya 2002 ndio inamtafuna mpaka sasa nyimbo zenyewe sasa kama kelele za kundi la nyuki wakiwa wanapita
Yani huyu ndiyo msomi anayemkosoa mwenzanke hana kitu kichwani!! makubwa haya nipeni miwani ya kukaguwa ubongo wake.
 
duuuh,sasa hapa sijajua nani amesoma na nani hajasoma,anayejiona amesoma haeleweki,arguements haziendani na kichwa cha thread,sasa hapa sijui nani anatafuta sifa.Ushauri wangu ningeomba urudie ukasome tena ile hotuba hasa hicho kipengele halagu urudi tena.

wengine tuwasamehe tu elimu zao zina matatizo,yeye amekuja kumkosoa sugu kumbe yeye ndio mburula kuliko sugu
 
Ubunge uanzie masterz mkuu hawa vilaza wanaokula majani asubuhi asubuhi ni tatizo sana watu wanakula supu yeye majani sasahivi atamtumia jay dee kutafuta sifa wakati mbeya matatizo lukuki
acha kuandika upuuzi,we unadhan masters ndo kitu gani?nn tofauti ya nchimbi na lukuvi au unadhan ukipata elimu ndo unaweza kutetea wananchi.Mbona mnyika hata kidegree kimoja hana lakini anaongea point?nina mashaka na vyeti vyako
 
duuuh,sasa hapa sijajua nani amesoma na nani hajasoma,anayejiona amesoma haeleweki,arguements haziendani na kichwa cha thread,sasa hapa sijui nani anatafuta sifa.Ushauri wangu ningeomba urudie ukasome tena ile hotuba hasa hicho kipengele halagu urudi tena.

...... Yaani nilifungua thread kwa haraka nikitegemea kusoma maneno ya mantiki kutoka kwa mwenye kitu kichwani, nikaishia kudhani kuwa labda aliyendika pia hajui maana ya kitu kichwani.
 
Ubunge uanzie masterz mkuu hawa vilaza wanaokula majani asubuhi asubuhi ni tatizo sana watu wanakula supu yeye majani sasahivi atamtumia jay dee kutafuta sifa wakati mbeya matatizo lukuki

hahahahaha umetisha apa duh. Kweli jf. N zaidi ya umeme wa transforma. Dah.
Napita tu.
 
Sugu huwa simwelewi bungeni anawakilisha jimbo lake au anawakilisha bongo fleva.

Wewe Kilaza sikiliza, hivi unajuwa Sugu ni waziri kivuri wa Wizara gani?
Unataka aongelee barabara kwenye mambo ya sanaa na utamaduni? hivi kwa nini watu wengine hamjaelimika pamoja na kupata fursa ya kutumia mitandao?
Matola, Nashukuru umemjibu huyo mchangiaji wa hapo juu kwa niaba yangu. Hivi ni lazima kila mada wachangie? Sometimes ni busara kukaa kimya kuliko kuonesha ujinga wako hadharani.

Ubunge uanzie masterz mkuu hawa vilaza wanaokula majani asubuhi asubuhi ni tatizo sana watu wanakula supu yeye majani sasahivi atamtumia jay dee kutafuta sifa wakati mbeya matatizo lukuki
We Kilaza uwe unasoma mada kabla ya kuchangia.
Malalamiko ya JD ni copy&paste ya malalamiko ya Sugu dhidi ya Clouds. Ingekuwa wewe ni mfuatiliaji mzuri wa JF ungekua ushajua mada tuliyoijadili kwa undani katika masuala ya sanaa hapa nchi na ugomvi wa Ruge na Sugu. GROW UP buddy!
 
Last edited by a moderator:
hotuba nzuri sana na hata waandishi wa habari maslahi yao yametetewa sana na kambi ya upinzani kuliko serikali yenyewe, ukija upande wa vijana wizara inaomba bilioni 3 ili kuwasaidia vijana zaidi ya milioni 16, kama sio waziri na naibu wake wanacheza kama jina la wizara yao.
 
Back
Top Bottom