mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Kuna baadhi ya maneno hayahitaji picha
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna baadhi ya maneno hayahitaji picha
Jr[emoji769]
tumemuona dawa yake ipo october.sisi wanambeya ndo tutaamuaPale mbunge wa Mbeya mjini anapo ona ufahari kukaa Dar kuliko Mbeya mjini. Wananchi wa Mbeya mjini mna ziona fikra za Mbunge wenu?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂Makavu live😂😂😂muwe mnavumilia tu ukweli😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Makavu live😂😂😂muwe mnavumilia tu ukweli😂😂😂😂
Na mbeya ataikimbia muda si mrefu! Wanambeya wengi sana wamemchoka. Ni wapambe wake wachache ndio wako nao ingawa wanaujia ukweli jamaa anapigwa chini ucjaguzi mkuu. Wanambeya wataongea boksi la kura kwa kusema NO SUGU..Mbunge wa Mbeye Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Chadema ameandika maneno haya kwenye ukurasa wake wa moja ya mitandao ya kijamii, nanukuu:
Nimekumbuka kitu hapa, nimebaki nacheka tu..
"Aliysema watu wataikimbia Dar Kaikimbia yeye Dar..
Je kwa muktadha wa maneno haya Mheshimiwa Mbunge anamzungumzia Nani ambaye ameikimbia Dar?
Aliyekurithisha uchawi alikuweza sana.Amalizie tu siku alizobakiza arudi kwenye muziki. Maana hata biashara ya hotel imemshinda. Siku hizi hapost tena. Wamejaa popo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivo ndo mpango wa CCM kuwa chama kikuu Cha upinzani kiwe NCCR, ngona tuone Kama Mtafanikiwa maana kwenye vikao vyenu mmeshapanga wabunge kwa kila Jimbo Huku mkihitaji pandikizi lenu Mbatia ndo awe KUBinfact mnatia hasira sana yaani natamani ata NCCR wachukue nafasi ya chama kikuu cha upinzani
We nawe sijui umeaandika nini sasa.Mbunge wa Mbeye Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Chadema ameandika maneno haya kwenye ukurasa wake wa moja ya mitandao ya kijamii, nanukuu:
Nimekumbuka kitu hapa, nimebaki nacheka tu..
"Aliysema watu wataikimbia Dar Kaikimbia yeye Dar..
Je, kwa muktadha wa maneno haya Mheshimiwa Mbunge anamzungumzia Nani ambaye ameikimbia Dar?
Mi sishabikii vyama lakini nyie mnaotunga mambo ndo mnaharibu.Na mbeya ataikimbia muda si mrefu! Wanambeya wengi sana wamemchoka. Ni wapambe wake wachache ndio wako nao ingawa wanaujia ukweli jamaa anapigwa chini ucjaguzi mkuu. Wanambeya wataongea boksi la kura kwa kusema NO SUGU..
Hata hivo ndo mpango wa CCM kuwa chama kikuu Cha upinzani kiwe NCCR, ngona tuone Kama Mtafanikiwa maana kwenye vikao vyenu mmeshapanga wabunge kwa kila Jimbo Huku mkihitaji pandikizi lenu Mbatia ndo awe KUB