Wanachama wa chadema wamekuwa wanakesha kwenye mitandao na kutaminisha kuwa wanasiasa tajwa ni mabilionaire ingawaje sina hakika kama wapo kwenye kundi wa mabilionaire walipa kodi pale TRA.
Pili, wafuasi wa chadema wanaaminisha wanachama wao kuwa hii nchi ina matatizo lukuki hivyo wanachi wake ni maskini shauri ya serikali ya CCM.
Tunaombeni mtumpatia taarifa za hawa mabilionaire wenu walaifanikiwa na kuwa mabilionaire kutoka nchi gani ?
Mwisho, niwaombeni muwafundishi wanachama wenu umuhimu wa kujitambua na kufanya kazi na si kupiga makelele kwa kuvizia matukio
Pili, wafuasi wa chadema wanaaminisha wanachama wao kuwa hii nchi ina matatizo lukuki hivyo wanachi wake ni maskini shauri ya serikali ya CCM.
Tunaombeni mtumpatia taarifa za hawa mabilionaire wenu walaifanikiwa na kuwa mabilionaire kutoka nchi gani ?
Mwisho, niwaombeni muwafundishi wanachama wenu umuhimu wa kujitambua na kufanya kazi na si kupiga makelele kwa kuvizia matukio