Sugu na Mbowe ni Mabilionaire?

Sugu na Mbowe ni Mabilionaire?

Wanachama wa chadema wamekuwa wanakesha kwenye mitandao na kutaminisha kuwa wanasiasa tajwa ni mabilionaire ingawaje sina hakika kama wapo kwenye kundi wa mabilionaire walipa kodi pale TRA,
Pili ,wafuasi wa chadema wanaaminisha wanachama wao kuwa hii nchi ina matatizo lukuki hivyo wanachi wake ni maskini shauri ya serikali ya CCM.

Tunaombeni mtumpatia taarifa za hawa mabilionaire wenu walaifanikiwa na kuwa mabilionaire kutoka nchi gani ?

Mwisho ,niwaombeni muwafundishi wanachama wenu umemuhi wa kujitambua na kufanya kazi na si kupiga makelele kwa kuvizia matukio


Hivi na akili yako kwa mambo aliyofanyiwa Mbowe na famila ya ukoo wao yaani familia ya baba yake hawataweza kuweka pesa zote nchini. Familai ya Mbowe's ambayo sio Freeman pekee bali familia ya baba yake na urithi walioachiwa nyumba, biashara ..... ni zaidi ya $50M. Baada ya Magu kuingia kampuni za Freeman alihamishia makao makuu Dubai kama alivyofanya Mo na Kusaga wa Cloud Media. Hivyo serikali haitaweza ku freeze pesa zao kwasababu ya siasa. Hata hao wote wanapesa za uendeshaji lakini account kubwa zipo Dubai ni siwashangai kwa mazingira ya ajabu tulionayo kwa sasa. Serikali badala ya kuangalia biashara walianza kunyanyasa famila tajiri yaani watu kama wakina Mo au Mbowe wanaambiwa waelezee pesa ambazo hizo familia wamekua kwenye biashara na uwekezaji zaidi ya miaka 40!
 
Sugu hajafika hatua ya kuitwa bilionea lakini Mbowe inawezekana maana katokea familia yenye ukwasi na pia hawa wanasiasa wa Afrika wana kawaida ya kuficha mali zao, ndio maana ni mara chache sana unaowaona kwenye list ya matajiri. Akiwa madarakani ataficha mali kwa sababu inawezekana zikawa za kifosadi na akiwa upinzani ataficha mali kuogopa kufirisiwa na serikali kama akipishana nayo kwenye masuala ya kisiasa. Hapa Afika tajiri namba 1 ni Dangote(naskia kashushwa sasa hivi) lakini za chini ya kapeti zinasema Kagame ndie mtu tajiri zaidi Afrika

Mbowe hajaficha iko wazi kampuni yake ya Mo na Cloud Media zipo HQ Dubai. Na familia ya baba yake wameweza na wana utajiri zaidi ya $50M na watu kwenye list za familia tajiri Tanzania. Lakini lazima tu tofautishe pesa ya familia na pesa yako, utajiri wa familia na utajiri wako. Pesa nyingi ni zimeachwa na Baba mzee Mbowe na zinaenda vizazi na vizazi na sio za Freeman zote
 
Mbowe kweli pesa ipo. Katoka familia tajiri mno na baba mkwe wake naye sio mchezo. Mbowe kwenye hela habahatishi. Sugu kama msanii lazima ajikweze ila naye sio mchezo. Uwekezaji aliofanya Desderia ni hatari.
 
Hivi na akili yako kwa mambo aliyofanyiwa Mbowe na famila ya ukoo wao yaani familia ya baba yake hawataweza kuweka pesa zote nchini. Familai ya Mbowe's ambayo sio Freeman pekee bali familia ya baba yake na urithi walioachiwa nyumba, biashara ..... ni zaidi ya $50M. Baada ya Magu kuingia kampuni za Freeman alihamishia makao makuu Dubai kama alivyofanya Mo na Kusaga wa Cloud Media. Hivyo serikali haitaweza ku freeze pesa zao kwasababu ya siasa. Hata hao wote wanapesa za uendeshaji lakini account kubwa zipo Dubai ni siwashangai kwa mazingira ya ajabu tulionayo kwa sasa. Serikali badala ya kuangalia biashara walianza kunyanyasa famila tajiri yaani watu kama wakina Mo au Mbowe wanaambiwa waelezee pesa ambazo hizo familia wamekua kwenye biashara na uwekezaji zaidi ya miaka 40!
Hakuan kitu Mangi,Mzee Mbowe ni mwaka jana ndio alijenga nyumba yake kijijini bado alikuwa anaishi nyumba ya ukoo🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Mbowe kweli pesa ipo. Katoka familia tajiri mno na baba mkwe wake naye sio mchezo. Mbowe kwenye hela habahatishi. Sugu kama msanii lazima ajikweze ila naye sio mchezo. Uwekezaji aliofanya Desderia ni hatari.
Mangi acha kabisa ,huyu mzee hadi juzi jusi tu alikuwa anaishi nyumba ya ukoo
 
Wanachama wa chadema wamekuwa wanakesha kwenye mitandao na kutaminisha kuwa wanasiasa tajwa ni mabilionaire ingawaje sina hakika kama wapo kwenye kundi wa mabilionaire walipa kodi pale TRA,
Pili ,wafuasi wa chadema wanaaminisha wanachama wao kuwa hii nchi ina matatizo lukuki hivyo wanachi wake ni maskini shauri ya serikali ya CCM.

Tunaombeni mtumpatia taarifa za hawa mabilionaire wenu walaifanikiwa na kuwa mabilionaire kutoka nchi gani ?

Mwisho ,niwaombeni muwafundishi wanachama wenu umemuhi wa kujitambua na kufanya kazi na si kupiga makelele kwa kuvizia matukio
Ili uitwe Milionea utajiri wako usipungue bilioni 1.

Ili uitwe bilionea utajiri wako usipungue trilioni 1.

Sasa je Sugu na Mbowe Wana utajiri wa trilioni angalau 1?.
 
Ili uitwe Milionea utajiri wako usipungue bilioni 1.

Ili uitwe bilionea utajiri wako usipungue trilioni 1.

Sasa je Sugu na Mbowe Wana utajiri wa trilioni angalau 1?.
Acha hadaa ,taarifa za ulipaji kodi zinaonyesha tofauti au wanapika mahesabu?
 
Angekulipa na nini au umesahahu kuwa alishindwa kulipa mishara wafanyakazi wa gazeti la tanzania daima?
Matajiri wengi kila senti wanataka waihodhi tu
Warren Buffett anaishi kwenye nyumba yake alioishi kwa miaka 50 na hana makuu
Charities zake ni nyingi sana anazotoa
Na anawashauri wenye hela watoe sadaka
Sasa Mbowe ana zaidi ya $20m anashindwa kuwalipa mishahara tumuweke fungu gani huyu na bado anahangaika na ruzuku za chama
Basi data zake zimepikwa
 
Back
Top Bottom