Sugu: Sasa Dogo Abdul anakuwaje tishio kwa watawala? Napata shaka maana kuteka, kuumiza na kuua Watu siyo maamuzi ya Kitanzania

Mbona wewe unatumia Jf kujificha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Gentleman,
mimi siwezi kujificha bana, na mimi ni mtu wa kusema ukweli tupu, yanini kujificha?

kumbuka,
JF ni jukwaa na fursa huru ya kuelezana mambo ya kweli kinagaubaga

wanaofanya mabo kwenye kificho ni hawa wanaibuka mchana kweupe na mangeu
 
Mara ametekwa na watawala mara na wasiojulikana


Tushike lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…