SUGU vs MWANA FA

SUGU vs MWANA FA

mwacheni sugu aitwe sugu yeye ni zaidi ya mwanamziki.
 
ukitaka kujua sugu mkali sikiliza hii nyimbo kiburi sugu ft stara thomas
 
hapa ni upinzani chadema vs ccm,naona chadema ana wafuasi wengi...
 
ni makosa makubwa kumuweka FA kwenye level za sugu....!

ukiacha fact kwamba wameimba katika zama mbili tofauti...hoja ya msingi pia mziki wao haulinganishwi kwa kuwa tu hamisi hafanyi hip-hop kabisa....!kihistoria hiphop ni mziki wa kiharakati zaidi...!sugu ameghani aina ya miziki hii ya harakat since 1994...and by then gk..dilop...balozi...walikuwa wanaibuka...!

unajua mim siwez kumleta fa kwenye level ya mziki ule wa sugu....!

sugu yupo juu sana
 
Embu acheni ushamba sugu minyimbo yake ni kujisifia tumi ananiboa kuwahi kutoka kisanii si ndio mkali kiivyo kutangulia si kufika kitu mwanafa

mshamba ww nadhan hujui maana ya hiphop...harakat na kujisifia v2 ambavyo fa hana hata chembe mwangalie krs 1 then uendelee kuwaita wenzio washamba kama co kinyume chake
 
Back
Top Bottom