Sugu Vs. Tuzo za Heshima-Fiesta!!Kulikoni??

Sugu Vs. Tuzo za Heshima-Fiesta!!Kulikoni??

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,374
Reaction score
6,857
Je huu ndio muendelezo wa bifu zao ama(Sugu na Ruge-Clouds Media group)??Utatoaje tuzo za heshima kwa waasisi au waimbaji wa mwanzo Bongoflava ukamwacha Sugu aka Mr 2?? Hiki ni kichekesho kwa Waandaaji wa Fiesta CloudsFm(Media).
Baadhi waliopata ni hawa:
Juma Nature
Fid Q
Bushoke
Prof Jay
Jay Dii
Unique Sisters
Mr Nice
Mabaga Fresh
Mandojo na Domokaya....n.k Sugu hayupo kundini. Hii imekaaje?? Wako seriaz kweli hawa??
 
Wangempa sugu angekub al kuipokea? Nawe jiulize.
 
Kwanin J MO wanamsahau! Kat ya conscious mc's bongo yule among them.
 
Naona eshacky umekosa cha kuandika bora uende jukwaa la mapenzi kw watoto wenzio
shortly,habari za Ruge tumezichoka,leta hoja ya msingi juu ya maendelea ya nchi yetu na sio thread ya Ruge na Sugu.
 
Labda tungejaribu kufahamu vigezo walivyotumia kabla hatujawalaumu... Ni sawa na kusema Marekani ikitoa tuzo za uaminifu kwa watu wote waliowahi kuitumikia, basi wampe Osama pia!
 
Clauds wameshakunywa maji ya bendera ya CCM hivyo hawana jipya zaidi ya fiesta kupromote umalaya na unzinzi hata hizo tuzo wanazotoa hazibadilishi maisha ya msanii bali kwa vile wasanii wetu misifa wanaona wako juu sana.
 
Naona eshacky umekosa cha kuandika bora uende jukwaa la mapenzi kw watoto wenzio
shortly,habari za Ruge tumezichoka,leta hoja ya msingi juu ya maendelea ya nchi yetu na sio thread ya Ruge na Sugu.

Kweli wewe Pepo, mawazo yako yanafanana na jina lako!! Kama huna heshima kwa Jmo ktk mzk huu wa Tz basi huna tofauti na Rais wako asiyemjua mmiliki wa Dowans.
 
Nilisikia kuwa ni Tuzo za wasanii waliotoa mchango mkubwa ktk matamasha ya Fiesta. Mi naona kwa vigezo walivyovifuata ni sawa maana hao wasanii waliotwaa tuzo wameshiriki katika matamasha mengi tangu tamasha hilo likiwa na jina la summer jam. Mr2 na Jay Mo sidhani kama waliwahi kushiriki matamasha mengi kama wengine waliopata tuzo. Tuangalie vigezo kuliko kulaumu kila wakati maana ni kweli kabisa Mr2, Jay mo, GWM, KU, Soggy Dogy, nawengineo wengi walikua waasisi je wametoa mchango gani ktk tamasha ndicho kigezo.
 
Kweli wewe Pepo, mawazo yako yanafanana na jina lako!! Kama huna heshima kwa Jmo ktk mzk huu wa Tz basi huna tofauti na Rais wako asiyemjua mmiliki wa Dowans.
<br />
<br />
jay mo cjakataa kuwa ni mmoja wa asisi ila,hbr za Ruge hapa Jf na Sugu too much..
 
Je huu ndio muendelezo wa bifu zao ama(Sugu na Ruge-Clouds Media group)??Utatoaje tuzo za heshima kwa waasisi au waimbaji wa mwanzo Bongoflava ukamwacha Sugu aka Mr 2?? Hiki ni kichekesho kwa Waandaaji wa Fiesta CloudsFm(Media).
Baadhi waliopata ni hawa:
Juma Nature
Fid Q
Bushoke
Prof Jay
Jay Dii
Unique Sisters
Mr Nice
Mabaga Fresh
Mandojo na Domokaya....n.k Sugu hayupo kundini. Hii imekaaje?? Wako seriaz kweli hawa??
Hili li Profesa njaa limekuja kuwa lijinga.
 
Naona eshacky umekosa cha kuandika bora uende jukwaa la mapenzi kw watoto wenzio<br />
shortly,habari za Ruge tumezichoka,leta hoja ya msingi juu ya maendelea ya nchi yetu na sio thread ya Ruge na Sugu.
<br />
<br />
We ndo unakosea, hapa ni jukwaa la celebraties, burudana na kadhalika. Unataka maendeleo hama jukwaa nenda jukwa la siasa, sheria, elimu na mengineyo. SIO LAZIMA UJIBU KILA THREAD, YAPASA PIA KUSONA NA KUIPOTEZEA KAMA UNAONA HAIKUFAI! Unataka tujadili maendeleo, maendeleo, maendeleo tu, mbona hayo maendeleo hatujayafikia for 50 years NOW?
 
<font size="4">Clauds wameshakunywa maji ya bendera ya CCM hivyo hawana jipya zaidi ya fiesta kupromote umalaya na unzinzi hata hizo tuzo wanazotoa hazibadilishi maisha ya msanii bali kwa vile wasanii wetu misifa wanaona wako juu sana.</font>
Nimekupata mkuu tuzo za sifa za kijinga ni sawa na mtu kupewa sahani isiyo na chakula,kwanza sishangai kwana clouds ilianza mwaka gani?wapeleke huko vituzo uchwara vyao.
 
Nauliza hivyo kwa sababu kwenye tamasha lao la fiesta hapa Dar walitoa tuzo kwa wasanii kumi waliotoa mchango mkubwa kwenye muziki wa Bongo flavour kwa miaka kumi iliyopita (2001-2011), kwa sababu ambazo nadhani ni za kisiasa (kwani hawa jamaa ni vibaraka wa ccm) na kwa kweli Sugu akiwa kama waziri kivuli wa habari, michezo na utamaduni amekemea sana swala la clouds kuitumia nyumba ambayo serikali iliitoa kwa ajili ya kujengwa studio ya kisasa wao wameigeuza kuwa nyumba ya sanaa nakuwanufaishia wao na pia tabia ya Sugu kuwaelimisha wasanii dhidi ya unevu wa malipo unaofanywa kwenye fiesta, na pia kwa namna Sugu alivyowakomalia waliposhirikiana na Januari Makamba kuiba aidia yake ya malaria haikubariki.

Pia kwa namna anavyowachana kwenye ant-virus.Kwa makusudi kabisa kwenye hiyo orodha Sugu eti hayupo!. Hivi hawajui bila Sugu kukomaa na huu muziki wasingekuwa wanaandaa hata hayo matamasha? Kwa kufanya hvyo wanapoteza historia ya Bongo flavour kwani watoto hawata mjua mwaasisi wa huo mziki na udhalilisha kwa heshima aliyonayo sugu kwenye huu Muziki..

Pia wasanii wakongwe wote ambao wapo karibu na sugu hawapo kwenye top ten( mfano Afande Sele na Wagosi wa kaya).

MY TAKE. MWAKA 2015 wote wenye mapenzi mema tuhakikishe CHADEMA inachukua nchi ili Sugu aichukue rasmi wizara ya michezo na awafungie maramoja hawa wapuuzi kwani hata redio yao inaponda sana Chadema na haifanywi kitu kisa wanaandaga birthday za Kikwete na Kibonde anasimamiaga kama MC sherehe na mikutano ya CCM.
 
Mkuu kama vipi ebu weka wazi hao waliopewa hizo Tuzo!
 
MY TAKE. MWAKA 2015 [COLOR=#ff0000 said:
wote wenye mapenzi mema tuhakikishe CHADEMA inachukua nchi ili Sugu aichukue rasmi wizara ya michezo na awafungie maramoja hawa wapuuzi[/COLOR] kwani hata redio yao inaponda sana Chadema na haifanywi kitu kisa wanaandaga birthday za Kikwete na Kibonde anasimamiaga kama MC sherehe na mikutano ya CCM.

Mkuu kwa sera za namna hii utakuwa unaiandalia CDM mazingira magumu na sidhani kama haya ni malengo ya chama na kama sera ni hiyo huwezi kutegemea kura yoyote ya mtu anayefikiri sawa sawa!
 
kwani sugu ndo mwanzilishi wa harakati za muziki huo,au naye anajitafutia umarufu mbuzi!!!
 
kwani sugu ndo mwanzilishi wa harakati za muziki huo,au naye anajitafutia umarufu mbuzi!!!
unapobisha kitu ni vizuri ukasema jina la unaemuona wewe ndio muasisi wa Bongo fleva, kuliko kuleta haya maongezi ya jikoni au salon!!! otherwise wewe ndio K- mbuzi.
 
Back
Top Bottom