Naona eshacky umekosa cha kuandika bora uende jukwaa la mapenzi kw watoto wenzio
shortly,habari za Ruge tumezichoka,leta hoja ya msingi juu ya maendelea ya nchi yetu na sio thread ya Ruge na Sugu.
<br />Kweli wewe Pepo, mawazo yako yanafanana na jina lako!! Kama huna heshima kwa Jmo ktk mzk huu wa Tz basi huna tofauti na Rais wako asiyemjua mmiliki wa Dowans.
Hili li Profesa njaa limekuja kuwa lijinga.Je huu ndio muendelezo wa bifu zao ama(Sugu na Ruge-Clouds Media group)??Utatoaje tuzo za heshima kwa waasisi au waimbaji wa mwanzo Bongoflava ukamwacha Sugu aka Mr 2?? Hiki ni kichekesho kwa Waandaaji wa Fiesta CloudsFm(Media).
Baadhi waliopata ni hawa:
Juma Nature
Fid Q
Bushoke
Prof Jay
Jay Dii
Unique Sisters
Mr Nice
Mabaga Fresh
Mandojo na Domokaya....n.k Sugu hayupo kundini. Hii imekaaje?? Wako seriaz kweli hawa??
<br />Naona eshacky umekosa cha kuandika bora uende jukwaa la mapenzi kw watoto wenzio<br />
shortly,habari za Ruge tumezichoka,leta hoja ya msingi juu ya maendelea ya nchi yetu na sio thread ya Ruge na Sugu.
Nimekupata mkuu tuzo za sifa za kijinga ni sawa na mtu kupewa sahani isiyo na chakula,kwanza sishangai kwana clouds ilianza mwaka gani?wapeleke huko vituzo uchwara vyao.<font size="4">Clauds wameshakunywa maji ya bendera ya CCM hivyo hawana jipya zaidi ya fiesta kupromote umalaya na unzinzi hata hizo tuzo wanazotoa hazibadilishi maisha ya msanii bali kwa vile wasanii wetu misifa wanaona wako juu sana.</font>
MY TAKE. MWAKA 2015 [COLOR=#ff0000 said:wote wenye mapenzi mema tuhakikishe CHADEMA inachukua nchi ili Sugu aichukue rasmi wizara ya michezo na awafungie maramoja hawa wapuuzi[/COLOR] kwani hata redio yao inaponda sana Chadema na haifanywi kitu kisa wanaandaga birthday za Kikwete na Kibonde anasimamiaga kama MC sherehe na mikutano ya CCM.
unapobisha kitu ni vizuri ukasema jina la unaemuona wewe ndio muasisi wa Bongo fleva, kuliko kuleta haya maongezi ya jikoni au salon!!! otherwise wewe ndio K- mbuzi.kwani sugu ndo mwanzilishi wa harakati za muziki huo,au naye anajitafutia umarufu mbuzi!!!