Ni kweli,kwa sasa zama zake zimepita...na hata yeye alisema amekwisha,ila anaimba just for funny
Ndio maana ya 'Veteran",mtu kuitwa "Veteran" au "Legendary" maana yake zama zake zimepita,kupita kwa zama hakumuondolei mtu ubora aliokuwa nao wakati ule...Ndio alivyo "Veteran" Pele na Maradona katika ulimwengu wa kandanda,Au Mohamed Ally na Tyson katika masumbwi.
Nashukuru umekiri kuwa alikimbiza "enzi zake",na kwa kweli hizi sio enzi zake tena...Ndio maana anaimba tu kwa "afya" na si ushindani.
Hata Ronaldo de Lima na Louis Figo leo wakirudi uwanjani hawawezi kufanya yale waliyokuwa wanayafanya,mechi zao za Bonanza wanaishia kucheza dakika 30 wanatota hoi!!Lakini hii haiwaondolei ubora wao waliokuwa nao pale Barnabeu na Nou Camp
Punguzeni punguzeni jamani....