I really miss the brown sugar.Wiki tunaelekea wiki sasa tangu Serikali itangaze Amri ya Bei Elekezi ya Sukari kwaajili ya kutumika Tanzania Bara, vipi huko wakuu? Imeshuka?
View attachment 2883093
Soma Amri ya Serikali hapa Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara
Wabongozozo wanahangaika na sukari madukani [emoji1]Yani tumerudi maisha kama ya kukimbiza gari la Ugawaji duka la kaya?
Maisha ya dhiki sana yale.
Ukinunua sukari, unalazimishwa na unga wa muhogo. Kwa foleni.
Unaandikiwa kwenye kidaftari cha kaya.
Tanzania ya 1980-1984 hiyo, kipindi cha Juliasi Kaizari.
View attachment 2883203
Wala haiwezi kuigharimu na haitatokea.Mateso kwa wananchi yataigharimu CCM.
GT bana. Hahaha cheka balaaWabongozozo wanahangaika na sukari madukani [emoji1]
Ova
una elimu gan ? unahisi walibyia walikuwa wakorofi ? au unaamin wapiganaj walitoka nje ya libyia ? bali walibyia waliochoka siasa za kihuni za Ghadaf , Ccmi inafuataThubutuuu.
Niliagiza majuzi Zanzibar kwa 3200. Kilo 6 kwa 16000/=Zanzibar imepanda zaidi kilo 3600
Unamsema Lucas mwashambwaLile tangazo ilibidi aliamini mtu aliyeishia darasa la saba B huko nanjilinji, kama umesoma na ukaliamini lile tangazo litashusha bei ya sukari huo ni ukosefu wa fikra,
Demand and supply haiamuliwi na amri za wenye vitambi.
Hama njoo mjinihuku haipo kabisa
Achana na kila siku utapata hasara, wewe nenda kila baada ya saa 1. Unakaa nje unapata bia moja unaingia tena.Ukienda kila siku vipi?
Chukua kahawa mwagia kwenye hiyo white sugar itakuwa brown.I really miss the brown sugar.
Napigia mstariDemand and supply haiamuliwi na amri za wenye vitambi
3200 nimeagizia leo au ni zanzibar ya Dubai mkuu kilo 5 kwa 16,000/= nimeletewa.Zanzibar imepanda zaidi kilo 3600
inakua kama kenya wakiwa na tatizo kubwa sana la unga supermarket zao mwisho kuuza kilo 4 za unga kwa mtu 1🤣Achana na kila siku utapata hasara, wewe nenda kila baada ya saa 1. Unakaa nje unapata bia moja unaingia tena.
Mkuu,yawezekana wewe ni mgeni hapa Tz.JPM alifanya kila alilolitaka,alifanywa nini?una elimu gan ? unahisi walibyia walikuwa wakorofi ? au unaamin wapiganaj walitoka nje ya libyia ? bali walibyia waliochoka siasa za kihuni za Ghadaf , Ccmi inafuata