Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

Hao ndio wazamiaji (kutoka nchi jirani) walioko serikalini kulingana na taarifa ya CDF hawana uchungu na ninyi watanganyika.
 
Watanganyika wanataka sukari. KIZIMKAZI anataka wazamini wa birthday party yake ifanyike wapi.wakati watanganyika hawana umeme n sukari.kashindwa.
 
Leo sukari nimezunguka kila duka naambiwa sukari hamna, kulikoni?

Waziri wa mashamba mbona kama amelala usingiz wa pono?

Mambo yamekuwa magumu hivi kweli tutafika February 15 kwa hali hii na huenda hata hiyo tarehe aliyosema waziri wa mashamba ikawa kiini macho?
Wanajua kabisa nchi haina Raisi ndio maana wanaficha sukari ila angekuwepo wasingefanya hivyo.
 
Leo sukari nimezunguka kila duka naambiwa sukari hamna, kulikoni?

Waziri wa mashamba mbona kama amelala usingiz wa pono?

Mambo yamekuwa magumu hivi kweli tutafika February 15 kwa hali hii na huenda hata hiyo tarehe aliyosema waziri wa mashamba ikawa kiini macho?
kunywa soda au nunua asali ndugu..

miwa imejaa maji sana haifai na haiwezekani kuzalisha sukari kwasasa
 
Leo sukari nimezunguka kila duka naambiwa sukari hamna, kulikoni?

Waziri wa mashamba mbona kama amelala usingiz wa pono?

Mambo yamekuwa magumu hivi kweli tutafika February 15 kwa hali hii na huenda hata hiyo tarehe aliyosema waziri wa mashamba ikawa kiini macho?
Waziri wa Fedha na wa viwanda ni ma dokta, wanashindwa kutengeneza mfumo wa tehama wenye kujua sukari iliyo zalishwa , iliyo uzwa na iliyo Baki .au mpaka Raisi awaaambie au Bashe
 
Leo sukari nimezunguka kila duka naambiwa sukari hamna, kulikoni?

Waziri wa mashamba mbona kama amelala usingiz wa pono?

Mambo yamekuwa magumu hivi kweli tutafika February 15 kwa hali hii na huenda hata hiyo tarehe aliyosema waziri wa mashamba ikawa kiini macho?
Sukari wala siyo kitu cha kulalamikia. Hata watanzania wakiamua kuitumia hadi milele haina shida. Kwanza ukiacha kutumia sukari faida za kiafya ni nyingi.

Mbona mimi nimeacha.
 
Dume zima linakuja lilia sukar jamii forum...si bora ufe tu ukawe faida kwa mchwa na funza...yaan
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=6G387jF-BG4

Wakati wewe unalalamika raisi yupo Zanzibar anakata keki. Halafu mwisho anamwambia makamu wa raisi wao awali hiyo keki aliyopewa hajui ilipotoka.

Akija na bara atakutana na keki zingine elfu zinamsuburi, sukari ya kutengenezea mafisadi watapata tu.

Ni kupoteza muda, changamoto kibao. Hivi kuna Rais aliyopita aliwahi kusherekea birthday yake na keki?

Nimemsikia hapo mwisho wa kuwalisha keki akimwambia msaidizi wake sisi hatuli keki yao, hatujui imetoka wapi.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=6G387jF-BG4

Wakati wewe unalalamika raisi yupo Zanzibar anakata keki. Halafu mwisho anamwambia makamu wa raisi wao awali hiyo keki aliyopewa hajui ilipotoka.

Akija na bara atakutana na keki zingine elfu zinamsuburi, sukari ya kutengenezea mafisadi watapata tu.

Nchi ya ajabu kweli
Zama hizi sukari inagombaniwa

Naona watu wanalishana keki hapo

Ova
 
Back
Top Bottom