Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

Nani sasa wakufwatilia hayo wakati wao wenyewe ndio msingi wa hizo bei na mfumuko wa bei.
 
Kuna vitu vinachekesha sana hivi kuna mtu wa kupiga kelele sukari ishuke atoke wapi huyo mtu watu wako busy na mambo yao wananchi tupambane na hali zetu.Ww angalia upuuzi swala la umeme, nauli kupanda sisi ni ma black mamba tupo tupo tu ka maroboti
 
HUku na kule kuna lijamaa linazunguka nchi nzima mara limepanda punda mara limepanda farasi mara trekta sijui bajaji na bodaboda , na hao hao ambao hawana sukari wanajaaaaaaaaaa watu hata mlo wa asubuhi shida, kimsingi mafisiemu yana dhambi sana yaani hawaoni kabisa huruma na masikini wa nchi hiyo. ila wacha wapigwe tu maana wameamua wenyewe.
 
Na nyie gomeni kununua/kuitumia

Acheni kuwa watumwa

Ova
 
Juice unawekaje sukari, si inatakiwa kuwa na sukari yake!!? Watu hawajaanza leo kutengenea mikate na maandazi. Tokea enzi za Yesu, walikuwa wanaweka sukari gani?
Wabongo ni watumwa
Ndomana wanapelekeshwa
Kama ngombe
Kwani lazima waitumie sukari
Si unaachana nayo kwa nuda
Wenyewe wazalishaji wauzaji
Watashusha bei
Lakini mijitu ilivyo na addiction
Mitumwa kutwa ohh suksri sukari
Kulalamika tu...

Ova
 
Wabongo ni watumwa
Ndomana wanapelekeshwa
Kama ngombe
Kwani lazima waitumie sukari
Si unaachana nayo kwa nuda
Wenyewe wazalishaji wauzaji
Watashusha bei
Lakini mijitu ilivyo na addiction
Mitumwa kutwa ohh suksri sukari
Kulalamika tu...

Ova
Sukari ni bidhaa muhimu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi juzi Mbezi nimenunua 1Kg 4,500/= cash iliyonyooka kama moja.

Tena muuzaji akanipa mkononi bila kifungashio nikamwambia mzee unaniuzia hela yote hiyo hata mfuko hunipi akaniambia ana mfuko wa 300/= na 200/= so ingebidi ninunue na kijimfuko iwe 4,700/= nikaikumbata hivyo hivyo nikaondoka huku nikiongea mwenyewe.
 
Back
Top Bottom