Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morogoro mjini kilo sh. 4000/- bodi ya sukari wasaniiYule msomali wizara imemshinda na hawa ndo wale cdf aliwasema.
Acha dhihaka sheikheMbona Zanzibar sukari ipo tele na bei yake haizidi 2500 kwa kilo moja na bado haina wateja.
Huko bara mna shida gani?
Huu muungano una faida gani kwenu?
Leo nimenunua Sukari kilo afu tano. Leo Tarehe 14.2.2024
Na hapa Niko mjini Dar. Sipati picha huko kwingine.
Huko kwenu inaendaje?
Ujumbe umfikie chawa mnene wa mama aitwaye choicevariabke.Leo nimenunua Sukari kilo afu tano. Leo Tarehe 14.2.2024
Na hapa Niko mjini Dar. Sipati picha huko kwingine.
Huko kwenu inaendaje?
Ukweli mchungu Wazanzibar Wana akili kuliko Watanganyika na Wazanzibar ni Wazalendo Kuliko Watanganyika.Mbona Zanzibar sukari ipo tele na bei yake haizidi 2500 kwa kilo moja na bado haina wateja.
Huko bara mna shida gani?
Huu muungano una faida gani kwenu?
Cha ajabu ni sisi tanganyika kama tunaulazimisha vile huu muungano, mie naona hakuna faida yoyote ya maana.Mbona Zanzibar sukari ipo tele na bei yake haizidi 2500 kwa kilo moja na bado haina wateja.
Huko bara mna shida gani?
Huu muungano una faida gani kwenu?
Hata mimi huwa nawaambia kuwa wapunguze hata matumizi ya umeme Ili kuepuka huu mgao maana huu mgao ni kutusababishia hasara tu kila sikuNaawambiaga mara nyingi humu.
Dawa ni kupunguza matumizi ya sukari.
Acheni kuwa watumwa,mtaishia kulalamika tu
Ova