Sukari imeshindikana nchi hii. Ni pasua kichwa

Sukari imeshindikana nchi hii. Ni pasua kichwa

Mama yetu mtaani hali ni mbaya, sukari haieleweki bei yake, sukari imekuwa adimu mtaani na ukiipata bei ni hatari.

Kwa mara ya kwanza Tanzania nanunua sukari elfu 5,500/- Mbeya. Swali langu nauliza, mama Sukari umeipeleka wapi? Maana tuliambiwa serikali imeagiza tani milioni kadhaa za sukari na sasa tangu kauli hiyo mwezi umepita!

Je, Waziri aliwadanganya Watanzania? Kinachoniudhi mama hajui shida ya sukari kila siku ni kubadilisha nchi Ulaya na uarabuni!

By MwanaCCM mpenda Chama na sio mfia Chama!
 
📌Tatizo lilianza pale Magu alipozuia sukari ya nje kutoingia na kuruhusu viwanda vya ndani ndiyo vichukue soko la sukari📌
 
Kuna mda nilikuwa Iringa,, sukari nilikuwa nanunua kwa 6000 kilo moja.
 
KIZIMKAZI YY anacho weza cjui nn pale magogoni. SUKARI akuna nakama ipo Bei juu. Umeme akuna.

Tumepoteza Tanganyika
 
Kama menejimenti ya sukari achilia mbali umeme serikali ya Tanzania imeshindwa inaweza nini ?
Waziri mkuu anaenda kufedheeka tena aliposema sukari mwezi wa mfungo wa Ramadan itakuwa tele, hivi hana washauri?
 
Leo nimenunua Sukari kilo afu tano. Leo Tarehe 14.2.2024

Na hapa Niko mjini Dar. Sipati picha huko kwingine.

Huko kwenu inaendaje?
Huwa nasema Bashe ni mropokaji wengine hamuelewi.
Hapa tume pigwa.
Watanzania tuna takiwa kuamka na kuwaangalia hawa wana siasa kwa jicho la tatu.
 
Bashe tangu umezungumza kuhusu bei elekezi ya sukari, mpaka sasa bei za sukari kwenye maeneo mbalimbali ni 4000, 4200, 4500, 4800, 5000, n.k.

Tupe maelezo au kama vipi achia ngazi.
 
Huyo msomali anapiga porojo tu,kama zile za BBT.Bashe alikuwa bora kwenye ubunge sio kwenye uwaziri.
 
Bashe tangu umezungumza kuhusu bei elekezi ya sukari, mpaka sasa bei za sukari kwenye maeneo mbalimbali ni 4000, 4200, 4500, 4800, 5000, n.k.

Tupe maelezo au kama vipi achia ngazi.
Si mmeambiwa serikali yenu tukufu imeona sukari inasababisha magonjwa hivyo kwa upendo wake kwa wananchi imeamua kuchukuwa hatua za kuzuia vifo vya raia?
 
Back
Top Bottom