Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Wapandishe ifike 10000 kabisa maana sukari nibsweet killer poisonLeo nimenunua Sukari kilo afu tano. Leo Tarehe 14.2.2024
Na hapa Niko mjini Dar. Sipati picha huko kwingine.
Huko kwenu inaendaje?
Safi sana. Ikifikia 10,000 itakuwa vizuri zaidi. Itawafanya raia wajue ni nini maana ya kuwa na serikali inayowajibika.Leo nimenunua Sukari kilo afu tano. Leo Tarehe 14.2.2024
Na hapa Niko mjini Dar. Sipati picha huko kwingine.
Huko kwenu inaendaje?
Didn't recognize you 😄Watanzania Mnaendekeza anasa kwa kupenda vitu vitamu vitamu
Huwa nasema Bashe ni mropokaji wengine hamuelewi.Leo nimenunua Sukari kilo afu tano. Leo Tarehe 14.2.2024
Na hapa Niko mjini Dar. Sipati picha huko kwingine.
Huko kwenu inaendaje?
WIZARA NGUMU KWAKE. BBT NAYO 100% UGUMUBashe tangu umezungumza kuhusu bei elekezi ya sukari, mpaka sasa bei za sukari kwenye maeneo mbalimbali ni 4000, 4200, 4500, 4800, 5000, n.k.
Tupe maelezo au kama vipi achia ngazi.
HatariHuku newala ni elf 6 sio 5
Si mmeambiwa serikali yenu tukufu imeona sukari inasababisha magonjwa hivyo kwa upendo wake kwa wananchi imeamua kuchukuwa hatua za kuzuia vifo vya raia?Bashe tangu umezungumza kuhusu bei elekezi ya sukari, mpaka sasa bei za sukari kwenye maeneo mbalimbali ni 4000, 4200, 4500, 4800, 5000, n.k.
Tupe maelezo au kama vipi achia ngazi.