Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Leo nimeenda kununua Sukari dukani nikakuta inauzwa kilo moja shilingi 1,800/= Hii spidi ya kupanda kwake ninaamini miezi mitatu tu ijayo itafika shilingi 2,000/=!!
Jamani hii kasi ya kupanda bei za bidhaa ni kubwa mno, mbona wakubwa hawashtuki? Yaani hili kwao siyo la msingi kama kupokea jezi ya Ronaldo?
Au matatizo haya hayawahusu?
Nilisoma somewhere (au nilisikia) that sukari sio nzuri sana kwa afya.
I am not very sure.
But these days nimehamia kwenye asali (natural).
May be we should try this.
unatumia bia eeh?Je kwa watoto itakuwaje kama wamezoe hiyo sukari, itakuwa ngumu kuwabadilisha
mm situmii sukari mana chai situmii
sukari=tsh 1800
mchele=?
unga(sembe)=?
maharage=?
nyama=?
kuku=?
bei za hizo bidhaa ni sh ngapi sasa hivi?
sukari=tsh 1800
mchele=?
unga(sembe)=?
maharage=?
nyama=?
kuku=?
bei za hizo bidhaa ni sh ngapi sasa hivi?
Wakati che nkapa anaondoka madarakani kilo ya sugar ilikuwa 600, maharage 350. mchele 700-800, pakti ya chumvi 100-150, kilo ya unga ilikuwa 400. sasa nadhani tunafahamu wapi tunaelekea[/QUOTE
Na wakati mkoloni anaondoka ilikuwa bei gani? Nyerere ? Mwinyi?, bei zitaendelea kupanda kwa sababu nishati bei juu, kodi juu, mishahara juu, ardhi juu, interest ya mikopo juu? everything juu. Tusitafute mchawi, huu ndiyo uchumi wetu, tunahitaji kufanya mapinduzi ya kikweli kweli ili kubadilisha mfumo wetu wa uchumi.
Per kilo bei ni:
Mchele 1400
Unga 800
Mharage 1300
Nyama 4000
Kuku 7000/8000
Mbebabox, na wewe ni walewale wanaoletewa kila kitu nyumbani? maana wenzetu hawajui kabisa bei ya bidhaa. kila kitu wanaletewa na wenye viwanda au maduka
Leo nimeenda kununua Sukari dukani nikakuta inauzwa kilo moja shilingi 1,800/= Hii spidi ya kupanda kwake ninaamini miezi mitatu tu ijayo itafika shilingi 2,000/=!!
Jamani hii kasi ya kupanda bei za bidhaa ni kubwa mno, mbona wakubwa hawashtuki? Yaani hili kwao siyo la msingi kama kupokea jezi ya Ronaldo?
Au matatizo haya hayawahusu?