Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Leo nimeenda kununua Sukari dukani nikakuta inauzwa kilo moja shilingi 1,800/= Hii spidi ya kupanda kwake ninaamini miezi mitatu tu ijayo itafika shilingi 2,000/=!!
Jamani hii kasi ya kupanda bei za bidhaa ni kubwa mno, mbona wakubwa hawashtuki? Yaani hili kwao siyo la msingi kama kupokea jezi ya Ronaldo?
Au matatizo haya hayawahusu?
Jamani hii kasi ya kupanda bei za bidhaa ni kubwa mno, mbona wakubwa hawashtuki? Yaani hili kwao siyo la msingi kama kupokea jezi ya Ronaldo?
Au matatizo haya hayawahusu?